Nizzoh824
JF-Expert Member
- Apr 27, 2016
- 241
- 146
Poleni na kazi jamani, nilikua nachangamoto kwenye umeme wa solar nina solar panel Wat 100, betri N 80 la unga, Inverter 200 W na charge contro changamoto iliyopo hivi vitu vilipo fungwa vilikua vinafanya kazi vizuri na ilikua kipindi cha masika nashangaa kipindi hiki cha kiangazi betr inawah kuisha moto na vina mda wa miez kama mitano tu.
Changamoto iliyopo nikwamba yani kipindi hiki Inverter inawah kupiga kelele inayo huashiria low charge ila taa zinawaka kawaida kwasababu zimeungwa direct kwenye betri sio kutoka kwenye charger controller kama inverter.
Hivyo nilikua naomba msaada kipi kinaweza kua na shida kati ya vifaa hvyo kwa wenye ujuzi na umeme wa sola ni hilo tu. Nawasilisha.
Changamoto iliyopo nikwamba yani kipindi hiki Inverter inawah kupiga kelele inayo huashiria low charge ila taa zinawaka kawaida kwasababu zimeungwa direct kwenye betri sio kutoka kwenye charger controller kama inverter.
Hivyo nilikua naomba msaada kipi kinaweza kua na shida kati ya vifaa hvyo kwa wenye ujuzi na umeme wa sola ni hilo tu. Nawasilisha.