Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu Kuna sababu nyingi...
14 Reactions
35 Replies
4K Views
Wadau, Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana... Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote.. Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua...
94 Reactions
986 Replies
152K Views
Aisee zimefika nyumbani kwangu, ila Kabla sijalipia nataka kupata kwanza feedback kutoka kwenu wadau, ziko vizur hizi router za TTCL??
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security...
2 Reactions
18 Replies
262 Views
Bei ziko sawa na zote ni smart
1 Reactions
37 Replies
1K Views
Eti wadau Samsung A35 5G 6/128 shngapi kwenye box?? Kuna mtu anataka kuniuzia hapa mpya
1 Reactions
1 Replies
97 Views
Mimi ni software enginerr mkongwe, mwenye uzoefu zaidi ya miaka kumi, na nilikua sijaanza kuchangamkia coding via AI, nilikua napiga codes zangu mwenyewe nikitarajia siku nitapata fursa...
7 Reactions
33 Replies
661 Views
AI au akili mnemba ili iweze kufanya kazi inahitaji chip, na sio tu kila chip inaweza kufanya hivyo. Kuna chips maalumu na za hali ya juu kwa ajili ya AI. Na kampuni ya NVIDIA imekuwa supplier...
42 Reactions
273 Replies
14K Views
Anonymous (9b22)
Shida ni kwamba hizi Telecom Companies na pia other companies ambazo zinajihusisha na services za home internet hazisema ukweli interms of amount ya data unayopata, kwa mfano unaweza kulipa...
8 Reactions
32 Replies
696 Views
🔥Pata website Hosting ndani ya dakika 1 Tu (Netfasta.Com)🔥 Tunatoa huduma za web hosting na usajiri wa domains kwa gharama nafuu sana na sasa tuna ofa Kwa Tsh 45,000 tu unajipatia hosting kwa...
0 Reactions
0 Replies
82 Views
MOBILE PHONE REPAIRING TOOLS AND UNLOCKING MODEMS AVAILABLE : Miracle box Oss Client Pro All Android ADB FRP Remover Tool Z3x Premium Gsm Alladin Infinix Box Octopus Samsung DC Unlocker NCK Box...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ni VPN gani ambayo ni inaweza kutumia kwenye Desktop computer? Ambayo ni Free!
2 Reactions
1 Replies
117 Views
Wakuu bila kupoteza muda, Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera. Haina ubishi, hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa...
49 Reactions
4K Replies
453K Views
Mwenye uhitaji wa hii hitu jamani, vyuma vimekaza. Bei laki tatu na nusu(350,000), inazungumzika. Ipo Dar Es Salaam/Tabata Heath
2 Reactions
2 Replies
106 Views
Wakuu Kuna yeyote humu yuko na side hustles pale Shutterstock? Kama upo naomba ushare experience Yako hapa tafadhali🙏
1 Reactions
1 Replies
70 Views
Wakuu nimeletewa tablet hapa wameniambia dogo alikua anachezea gemu Sasa baadaye wakafungua Kwa password Ile Ile ya 2022 lakini Ngoma inasema wrong password. Nimejaribu kufanya hardreset lakini...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Kuna blogger mmoja muhindi ni best yangu sana. Ubest wetu ulianzia kule freelancer.com tukawa tunachat mara kwa mara mpaka tumekuwa mabest akaja Tanzania kutembelea Arusha na Kilimanjaro. Jamaa...
19 Reactions
98 Replies
12K Views
N:B: Ni muhimu kupima Network kwenye eneo lako kabla ya kununua kuzuia hasara. Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza...
35 Reactions
201 Replies
12K Views
SOMO LA LEO ♌️: JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱 Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa...
9 Reactions
6 Replies
5K Views
DJI watabe wa drones, gimbals na camera kutoka China, leo officially wametuletea DJI Pocket 4! Kwa mliowahi kutumia Pocket 3, nadhani mtakua mmejua ni kitu gani DJI wamefanya. Alot of upgrades...
4 Reactions
1 Replies
137 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…