Sure situmii Samsung na wala sio kampuni namba moja ya simu kwenye moyo wangu, ila ukitoa kampuni ya simu ninayoipenda kuliko zote, basi Samsung ndio inafuatia moyoni mwangu
Kuna sababu nyingi...
Wadau,
Kujua Excel Spreadsheets ni muhimu sana...
Tunaweza tukashirikishana tricks mbalimbali katika Excel hapa ili tujifunze wote..
Unaweza pandishwa CHEO au Kupata kazi kirahisi Kwa kujua...
Kama kichwa cha uzi hapo juu kinavyoelezea, tuchukulie mfano simu ya Samsung Galaxy S22 ultra ambayo mara ya mwisho imepokea system update mwaka jana huku ikitarajiwa kutokupokea tena security...
Mimi ni software enginerr mkongwe, mwenye uzoefu zaidi ya miaka kumi, na nilikua sijaanza kuchangamkia coding via AI, nilikua napiga codes zangu mwenyewe nikitarajia siku nitapata fursa...
AI au akili mnemba ili iweze kufanya kazi inahitaji chip, na sio tu kila chip inaweza kufanya hivyo.
Kuna chips maalumu na za hali ya juu kwa ajili ya AI. Na kampuni ya NVIDIA imekuwa supplier...
Shida ni kwamba hizi Telecom Companies na pia other companies ambazo zinajihusisha na services za home internet hazisema ukweli interms of amount ya data unayopata, kwa mfano unaweza kulipa...
🔥Pata website Hosting ndani ya dakika 1 Tu (Netfasta.Com)🔥
Tunatoa huduma za web hosting na usajiri wa domains kwa gharama nafuu sana na sasa tuna ofa
Kwa Tsh 45,000 tu unajipatia hosting kwa...
Wakuu bila kupoteza muda, Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera.
Haina ubishi, hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa...
Wakuu nimeletewa tablet hapa wameniambia dogo alikua anachezea gemu Sasa baadaye wakafungua Kwa password Ile Ile ya 2022 lakini Ngoma inasema wrong password. Nimejaribu kufanya hardreset lakini...
Kuna blogger mmoja muhindi ni best yangu sana. Ubest wetu ulianzia kule freelancer.com tukawa tunachat mara kwa mara mpaka tumekuwa mabest akaja Tanzania kutembelea Arusha na Kilimanjaro.
Jamaa...
N:B: Ni muhimu kupima Network kwenye eneo lako kabla ya kununua kuzuia hasara.
Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza...
SOMO LA LEO ♌️: JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱
Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa...
DJI watabe wa drones, gimbals na camera kutoka China, leo officially wametuletea DJI Pocket 4!
Kwa mliowahi kutumia Pocket 3, nadhani mtakua mmejua ni kitu gani DJI wamefanya. Alot of upgrades...