Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,766
- 2,684
Habari wakuu,
Samsung Note 10 yangu, mwaka jana ilianza kutokaa na chaji. Mafundi walinishauri nibadili betri. Nikabadilisha pale Kariakoo nikimshuhudia fundi hatua kwa hatua.
Ghafla haikai na chaji. Nimepeleka kwa mafundi wawili, wanafanya ujanja wa kuiset inachaji hadi 100% nikiwa ofisini kwao, lakini nikifika home chaji inakuwa zero na haipandishi.
Naombeni msaada.
Samsung Note 10 yangu, mwaka jana ilianza kutokaa na chaji. Mafundi walinishauri nibadili betri. Nikabadilisha pale Kariakoo nikimshuhudia fundi hatua kwa hatua.
Ghafla haikai na chaji. Nimepeleka kwa mafundi wawili, wanafanya ujanja wa kuiset inachaji hadi 100% nikiwa ofisini kwao, lakini nikifika home chaji inakuwa zero na haipandishi.
Naombeni msaada.