Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Bram alizaliwa mwaka 1975 huko Dream country USA huku baba yake ni mwandisi wa kompyuta na mama yake ni mwalimu. Baada ya kufikisha miaka 5 Bram alikuwa amewiva kujua lugha za huandisi wa...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika utafiti wangu nmegundua watu wanaomiliki simu za tecno wamezidi kupungua siku hadi siku. Japo kuna wale wanaotumia tecno zilizochangamka kama ifinix nk. Hii imeenda sambamba na kuongezeka...
12 Reactions
103 Replies
9K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kutinga kwenye uwanja, nimekuwa nikicheki interviews za lisaa ama zaidi kwa bloggers waliofanikiwa na kiukweli natamani walau nipate walau hata theluthi ya...
6 Reactions
55 Replies
4K Views
Habari zenu, nimeona hii huduma ikiwa inajadiliwa sana humu ndani na ningependa kujua kama naweza kuitumia kwenye simu ya mkononi? Ni kwa matumizi ya familia nikiwa nyumbani hasa kuanzia mida ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Natoa salam kwa wana jamvi wa Jf kwa ujumla, specifically nazitoa salam kwa wana jukwaa wa Tech. Tukiachana na salam, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa. Naomba kuuliza je, ni aina...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Nuru ni lugha ya programu ya Kiswahili. Inafanana na lugha zingine kama python na javascript, tofauti ikiwa imetengezwa kwa Kiswahili. Lugha hii imetengenezwa ili kuwawezesha wazungumzaji wa...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Mimi natumia Microsoft Office 2016 kwa sababu ya shida. Pia ni mpenzi wa kutumia Outlook kwenye mambo yangu binafsi. Ni mwezi sasa nimesitishiwa huduma ya login to Outlook mail...
0 Reactions
3 Replies
812 Views
Splinter Cell Konviction ndo ilikuwa game yangu ya kwanza kucheza kwenye Xbox kwa ndugu yangu mmoja hivi. game ilinivutia sana maana walikuwa wamebadilisha mfumo .waliocheza vitu kama Chaos Theory...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Je, naweza kupata administrator password kama ameshaisahau au haijui ili isije kunipa shida kwenye kuweka window? I mean password ya BIOS
0 Reactions
14 Replies
807 Views
Kuna simu nilikuwa nayo ikapotea na lain Kila kitu. Ila baada ya kupata simu nyingine nikawa nahitaji kurudisha baadhi ya account ikiwemo ya Twitter pamoja na Whatsapp. Kwa mfano nimejaribu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye kujua jinsi ya kupata simulation game la x-plane 11 &12 anisaidie maelekezo tafadhari bila kusahau installation ya drivers zake. Asante
1 Reactions
3 Replies
543 Views
Salaamu, Nikiri kwamba kuna changamoto katika kujua simu gani bora ya kununua kwa ajili ya matumizi yako. Changamoto hizi zinatokana na sababu kadhaa, mfano; 1. Uwepo wa kampuni nyingi...
2 Reactions
30 Replies
7K Views
Habari wana JF, Kuna mdada fulani tulizoean hivi karibuni tu aliniazima simu yangu akidai kuwa simu yangu imezingua nimuazime kwa muda. Nilimuazima kama kwa siku 2 lakini cha ajabu jana...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Wakuu Namba maelekezo Kwa anae ijua Kampuni ya ads ambayo inaruhusu kuweka matangazo katika blog zenye Free domain. Nimekutana na Blog zenye Free domain ya Blog.com Jamaa wameweka ads Maisha...
0 Reactions
5 Replies
552 Views
Habari zenu wakuu ? Matumaini yangu mpo salama na afya njema!, Dhumuni la kuanzisha uzi huu ni kushare ujuzi tulio nao ili kuweza kufaidi chaneli za FTA kupitia sattelite mbalimbali, Tuanze na...
11 Reactions
229 Replies
82K Views
Habariiii viongozi baada ya kufikiria kwa sana nataka kuanzisha tovuti ambako watu wenye addiction mbalimbali watakutana na kujadili nini cha kufanya hasa kwa lugha yetu hadhimu Addiction kama...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari, mafaili ya ha tunnel yamekwisha expire.Msaaada nifanyeje?
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Nahitaji wireless earbuds ambazo zinaweza kaa na charge kwa muda mrefu. Lets say masaa 8-12. Kama unazifahamh please nijulishe. Na bei iwe rafiki tu ya kitanzania.maana nmeshanunua sana na...
2 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari wana JF Naomba kufahamu ni wapi naweza pata mafunzo ya computer graphics online au phisical kwa mkoa wa Morogoro.... Nataka kujifunza muda wa ziada sababu mimi ni mtumishi wa umma... Asante
0 Reactions
3 Replies
819 Views
Back
Top Bottom