Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Habari zenu wakuu ?
Matumaini yangu mpo salama na afya njema!,
Dhumuni la kuanzisha uzi huu ni kushare ujuzi tulio nao ili kuweza kufaidi chaneli za FTA kupitia sattelite mbalimbali,
Tuanze na namna ya kuitafuta sattelite kwa uhakika bila kubahatisha pasipo kutumia satelite finder na makolo kolo kibao,
Ili kufaidi vizuri kazi au jaribio lako unatakiwa uwe na MPEG 4 DIGITAL RECEIVER ,LNB ZA C BAND NA KU BAND , PAMOJA NA DISH KUANZIA CM 60 NA KUENDELEA KWA LNB YA KU NA DISH KUANZIA FUTI 6 ,8 , 10 na kuendelea KWA LNB YA C BAND.
Hakikisha kila kitu kipo sawa na umejiandaa na majaribio bila kukata tamaa,
Tukianza na namna ya kujua ni wapi satelite inapatikana unatakiwa ujiulize ikiwa IS 906 ni nyuzi 64 Mashariki , (EUTELSAT 36 A ) Dstv ni nyuzi 36 mashariki, Nile sat (ZUKU NA STARTIMES) 7 Mashariki na IS 22 ni nyuzi 72.1 mashariki....
Tutaendeleaaa......
Matumaini yangu mpo salama na afya njema!,
Dhumuni la kuanzisha uzi huu ni kushare ujuzi tulio nao ili kuweza kufaidi chaneli za FTA kupitia sattelite mbalimbali,
Tuanze na namna ya kuitafuta sattelite kwa uhakika bila kubahatisha pasipo kutumia satelite finder na makolo kolo kibao,
Ili kufaidi vizuri kazi au jaribio lako unatakiwa uwe na MPEG 4 DIGITAL RECEIVER ,LNB ZA C BAND NA KU BAND , PAMOJA NA DISH KUANZIA CM 60 NA KUENDELEA KWA LNB YA KU NA DISH KUANZIA FUTI 6 ,8 , 10 na kuendelea KWA LNB YA C BAND.
Hakikisha kila kitu kipo sawa na umejiandaa na majaribio bila kukata tamaa,
Tukianza na namna ya kujua ni wapi satelite inapatikana unatakiwa ujiulize ikiwa IS 906 ni nyuzi 64 Mashariki , (EUTELSAT 36 A ) Dstv ni nyuzi 36 mashariki, Nile sat (ZUKU NA STARTIMES) 7 Mashariki na IS 22 ni nyuzi 72.1 mashariki....
Tutaendeleaaa......