Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

wadau habari,ninaomba msaada kila ninapotaka kupiga simu kwa kupitia mtandao wa voda kuna maandishi yanatokea yameandikwa ACM limit exceeded,naomba mwenye kufahamu jinsi ya kuondoa tatizo...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Kituo cha Mtandao cha Kitaifa cha Uingereza (NCSC) kimetoa angalizo kwa watu wa tasnia hizo kufanyiwa udukuzi wa kijasusi kwa lengo la kukusanya taarifa mbalimbali Imeelezwa wadukuaji wanawalenga...
0 Reactions
1 Replies
710 Views
Naomba msaada wa kupewa contact information ya fundi/garage nzuri yenye kifaa (computer) kwa ajili ya kufanya On-Board Diagnostic kwa Subaru Forrester. Taa ya check engine imekuwa inawaka kwa wiki...
1 Reactions
33 Replies
12K Views
Natumai mu wazima, naombeni ushauri. Lipi jiko bora kati ya haya Home base na Mr UK? Wazoefu wa haya mambo naombeni msaada ndugu yenu nimekwama, kwakuwa wengi humu ni wajuvi wa hizi mambo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wasalaam wadau, Natafuta, screen replacement ya ULEFONE Note 11p ( Ulefone Note 11P - Full phone specifications) , hii ni baada ya kioo kilicopo kuacha kufanya kazi baada ya simu kuanguka...
1 Reactions
2 Replies
498 Views
Habari wadau, Nataka kufungua ka grocery kangu nipate hapo japo mia 2 mia 2, sasa issue napata utata kati ya fridge brand ya Boss au Hisence showcase. Naombeni wazoefu au wataalam wa hizi mambo...
0 Reactions
0 Replies
583 Views
Habar wadau !!! Hope wote mpo poa niende moja kwa moja kwenye mada nadhani wengi kati yenu mnatuia outlook na karibu ofisi nying zinatuia outlook for person and office work Mi kinachoniudh...
0 Reactions
4 Replies
878 Views
Tv ilipata hitilafu ya kioo (ona picha) kupata wingu linalokera japo picha na sauti vinapatikana Mafundi, je lina utatuzi?
0 Reactions
2 Replies
730 Views
Habari jamii forum... Mwenye ujuzi wa kupata GADGETS za saa na calender katika window 10 kama ilivyo katika window 7... Please....
1 Reactions
5 Replies
487 Views
Nahitaji kuagiza Alibaba kamera ya kupiga picha za mnato na video namm sio mzoefu sana ila kwakua najifunza nimeona ni bora niwashilikishe. Pesa sio tatizo ila nimeingia mtandaoni nikaona Canon...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
Wajuvi mimi ni mpenzi wa kutazama movies zenye sabtitle ya kingereza kwa yeyote anayefahamu jinsi ya kudownload kwenye simu na kisha ionyeshe kwenye TV. Huwa ninadownload movies kwenye simu kisha...
1 Reactions
49 Replies
9K Views
Simu yangu ninayotumia wiki kama mbili zilizopita mtoto aliiangusha ikawa imeckrack kidogo ila nashukuru haikuwa na effect yoyote, ila nashangaa leo asubuhi nmeamka naona brightness inashake shake...
0 Reactions
5 Replies
924 Views
Kama kichwa cha Habari kilivyo wengine sio ma expert sana jinsi ya kupakua game kali online Ila mie natafuta wajuz na wapenz wa hili game la "FOOTBALL MANAGER " nataka nijue jins la kulipata free...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Msaada King'amuzi cha azam kinaniletea ivyo shida ni nn Shifa nyengine nikijaribu kusearch zinakuja channel za startimes sijajua shida ni nn wakati mwanzo zilikuwepo channel za azam
0 Reactions
3 Replies
816 Views
naomba msaada nina lenovo yoga tablet,upande wa keyboard haifanyi kazi full maana ilipata crack,upande wa tablet ya kutouch ni nzima,sasa nineambiwa kuwa unaweza kuweka keybord mpya,mwenye ujuzi...
0 Reactions
5 Replies
662 Views
Wakuu nilifungua ka stationery kadogo nikamuacha binti, photocopy machine ni canon iR2016 I. Ilikua inapiga kazi vizuri tu nikiiconnect kwenye desktop, sasa binti amenipigia simu kwamba...
0 Reactions
3 Replies
554 Views
Habari members, Hivi kuna siri yoyote, anayejua kuhusu TV hizi brands kubwa maarufu na za kati kuwa kwenye box za kaki na maandishi meupe then na zenye sifa zile zile kuwa kwenye box za rangi...
0 Reactions
4 Replies
579 Views
Naweza pata wapi na kwa Tsh ngapi battery ya Laptop aina ya ASUS 550L
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Kama tunavyojua Mark Zuckerberg alikuja na wazo la Facebook, Social media na kuwa peoneer katika ulimwengu wa SOCIAL MEDIA na huwezi kuongelea historia yake bila kutaja jina lake tunaweza kumuita...
4 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari wakuu, Nimekuwa nikitumia YoWhatsApp kwa simu A na sasa nimepata simu mpya B. Nataka chat zangu zote zihamie simu B pindi nikiweka YoWhatsApp katika simu B. Nimepitia maelezo mitandaoni...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom