Hamjambo wana-JF?
Tafadhali naomba msaada wa kunijulisha wapi pa kupata AT89S51 microcontroller au jamii ya 8051 microcontroller ndani ya Tanzania.
alpha1
Hello wadau
Nimepata PC tower ambayo nafikiri jamaa alikuwa anaitumia kwa Games maana weka graphic card ku enhance pictures.Tatizo ni kuwa nimejaribu kuiwasha hakuna image sent to the...
Habari zenu?
Napenda kutambulisha kwenu uanzishwaji wa jumuiya inayoitwa BONGO SCIENCE, au kwa kifupi BS..
Katika kipindi hiki ambapo nchi nyingi duniani zimekuwa zikifanikiwa kwa kutumia...
HII ni njia ya kutest kama anti virus yako ya ukweli ama la
ukiona imeona virus ujue iko mzuka,ukiona kimya ujue kimeo hiyoooo
tengeneza new text document. halafu copy maneno haya...
Mimi nimemaliza chuo mwaka 2007 Advanced diploma in IT.Katika kipindi chote mpaka sasa sijabahatika kupata kazi ya proffessional yangu.nimejikuta nafanya part time job.Imefikia kipindi nimeanza...
:lol:
Don't Use:
Any part of your name - first, last, or middle
Your initials
Your social security number
Names of friends, family, or pets
Birthdays
Phone numbers or addresses
Any other...
I like to experiment whenever I get spare time. It should explain my avatar on the left. ;-) So one dull morning, about a month ago, I took a backpack and in it was one Toshiba fully loaded with...
Hatimaye Microsoft wametoa toleo jipya la Internet Explorer, toleo hili linajumuisha mwendo kasi wa vtendea kazi vya kompyuta, msaada wa viwango vya tovuti na muonekano mpya ambao umetilia mkazo...
Hi wakuu,
Tafadhali ninaomba mdau mwenye software ambayo inaitwa CHIEF ARCHTECT ili niweze itumia. Actually aniweza kunipa copy ambayo iko registered. Malipo ni mazungumzo.
aliyenayo awasiliane...
Wana JF wote,
Mara chache sana tumekuwa tukishuhudia tukio la kupatwa kwa jua (Solar eclipse) na vile vile kupatwa kwa mwezi (Lunnar eclipse).
Je unafahamu kuwa kuna kupatwa kwa Satellite...
TANZANIA imefungua ukurasa mpya wa kuwa na watalaamu wa ndani katika taaluma ya kuzalisha umeme baada ya kikundi cha watu 20 kufanikiwa kutengeza mtambo wa kuzalisha umeme wa upepo.
Mtambo huo...
Windows XP Professional allows to connect via TCP/IP from other systems to your XP
Professional system , operating the Windows XP system remotely :
Example #1: you are at home and need to work...
Ukiwasha radio yako sasa hivi kila dakika 30 hivi utasikia kampuni fulani ya simu ikitangaza punguzo la bei kwa huduma zake za mawasiliano haswa mawasiliano kati ya wateja wa kampuni moja na zile...
Wanabodi,
Kizuri kula na wenzio!
Naomba pia kuchukua fursa hii, kuwapa kizuri hiki nilichokutana nacho.
Ni kujipatia internet ya karibu na bure, kwa kupitia simu yako ya mkononi.
Kwa...
MyBB has experienced an internal SQL error and cannot continue.
SQL Error:1203 - User bbafrica_forum1 already has more than 'max_user_connections' active connectionsQuery:[READ] Unable to connect...
$149.00 - $875.00
Compare prices
iPhone 4 16GB Black Smartphone - AT&T
447 ratings|66 reviews
While everyone else was busy trying to keep up with iPhone, we were busy creating amazing new...
naombeni msaada. siwezi kuaccess some websites kama za udsm,open university of tanzania na za baadhi ya vyuo vingine vya hapa tanzania,na leo nimejaribu kuaccess ya tra nayo nashindwa kufungua. i...