Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada wadau ningependa kujua ni software gani inayotumika kutengeneza matanzazo ya TV yenye slides na animation
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Bajet 320,000, hata refurbished za mtumba poa tu HuaweiP20 HuaweiP20 lite HuaweiP30 Nokia5.1 Plus (Nokia X5) Nokia6.1 Nokia6.1 Plus (Nokia X6) Nokia7.1 Nokia8 Sirocco XiaomiMi 8 SE XiaomiMi 9 SE...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari waungwana nina blog yangu katika platform ya blogger inahusiana na michezo nahitaji app blog yenyewe hii hapa www.binruwehy.blogspot.com dm iko wazi pia mtengenezaji wangu namuomba awe na...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
WhatsApp itaweka mabadiliko ambayo kila mtumiaji alikuwa anatamani kuona sehemu hii mpya inawekwa. Kwa kawaida WhatsApp haina sehemu ya ku-edit message baada ya kuitumia. Mtu akikosea kuituma...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Waheshimiwa kwa aneyefahamu haya maswala vizuri naomba kujuzwa kati ya hizo programmes tajwa hapo juu ipi ipo vizuri.. kwa upande wa kujiajiri, kuajiriwa, pesa, ipi ipo katika soko kwa sasa na...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
This is service is no more available do no bother yourself to comment on this thread FREE INTERNET TO ALL JF MEMBERS Requirements Magic SIM card (without Balance)+USB DONGLE Open VPN which...
33 Reactions
523 Replies
81K Views
Yaani huko juu namba chochote wala sehemu ya kusearch au kuona ujumbe hakuna.
0 Reactions
5 Replies
673 Views
Habari zenu, Naombeni mnisaidie kutatua hili tatizo la whatsap yangu kila nikijiunga wanasema wameiblock nikajaribu kuingia ukurasa wao wa msaada wakanitumia ujumbe kwamba account yangu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naomba ushauri wenu hapo , baada kudesign website kwa kutumia HTML na CSS ,je nifanyaje ili website yangu iweze kuonekana mtandaoni
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Naenda moja kwa moja kwenye mada.Nilikuwa ni mhanga wa bondo la internet kuisha haraka sana hadi nikawa nalaumu kuwa mitandao ya simu ni wezi wa kutupwa.Matumizi yangu kwa siku ni ya kawaida sana...
8 Reactions
11 Replies
10K Views
Vp wadau, nani anatumia king'amuzi cha Canal+ kwa mikoa ya Pwani kama Dar, na mengine.. Wiki iliyopita nilikua kigoma nimekuta watu wamefunga hiki king'amuzi wanatazama mechi zote kwa bei nafuu...
2 Reactions
53 Replies
19K Views
Jamani king'amuzi kipya kabisa ambacho baso hakijasajiliwa cha startime huwa kinakuwa na status ipi kati ya hivi 1. Domarnt 2. Invalid 3. Inactive Msaada wenu wangwana na wajuvi wa mambo haya...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Hapo nyuma, niliuliza swali. Hili hapa: Leo asubuhi nilipata email kutoka Dudumizi, kuwa reservation zimeanza. Nilipiga simu DuHosting, wakaelezea yafuatayo: Sasa hivi...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Startup kadhaa za Bongo katika miaka ya karibuni zilianzishwa kwa kupata funding kutoka kampuni za Venture Capital (VC) Marekani, kabla ya mfumuko wa bei (inflation) iliyotokea hivi karibuni...
2 Reactions
2 Replies
781 Views
Kumekua na maneno mengi sana kuhusu hii App haswa baada ya Zari kudai Mama Dangote aliiweka kwa simu yake ili kusoma sms za Zari. Wema Sepetu naye kashambuliwa na watu waliotumwa na mwanamke...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Kila nikiingia nakutana na huu ujumbe!! Vipi tayar hacker wamefanya Yao ama
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kuuliza. Hivi hizi simu zinazokopeshwa na tigo, zina ubora kiasi gani? Samsung a04
0 Reactions
20 Replies
13K Views
Habari wanabodi, kuna maswali ningependa niyafahamu kuhusu GPS TRACKERS... 1.Je hizi google maps ili kujua mahali chomba chako kilipo? 2. Je inaweza kusoma maeneo yoyote chombo chako kilipo hata...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Chaja nikichajia simu wala haina shida lakini hali ni tofauti kwa power bank, inapata joto kali nikichajia power bank, zikipita dakika 40 hivi charger inakuwa na joto si mchezo. Charger yangu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyosema, tablet yangu imezima ghafla tu haiwaki tena. Ni mpya kabisa imetumika kama wiki 2 tu. Ilizima yenyewe ikiwa katika matumizi ya kawaida na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom