Kumekua na maneno mengi sana kuhusu hii App haswa baada ya Zari kudai Mama Dangote aliiweka kwa simu yake ili kusoma sms za Zari.
Wema Sepetu naye kashambuliwa na watu waliotumwa na mwanamke mmoja anayedai aliiweka hii App ya SHOTMACK na akawa anasoma sms za mumewe akiwasiliana na Wema
Nikawa najaribu kujiuliza hivi inawezekana kweli ni install app kwenye simu yangu kisha niingize tu namba yako kisha nipate access ya kuona sms zako?
Nimeenda Play Store kuchungulia nikakuta reviews zinaonyesha app ni scam na wanachaji hela kupata code so sikutaka hata kuidownload
Wataalam hii kitu inawezekana ikawa kweli?
Yaani ni that simple
Wema Sepetu naye kashambuliwa na watu waliotumwa na mwanamke mmoja anayedai aliiweka hii App ya SHOTMACK na akawa anasoma sms za mumewe akiwasiliana na Wema
Nikawa najaribu kujiuliza hivi inawezekana kweli ni install app kwenye simu yangu kisha niingize tu namba yako kisha nipate access ya kuona sms zako?
Nimeenda Play Store kuchungulia nikakuta reviews zinaonyesha app ni scam na wanachaji hela kupata code so sikutaka hata kuidownload
Wataalam hii kitu inawezekana ikawa kweli?
Yaani ni that simple