King'amuzi cha Canal +

King'amuzi cha Canal +

Adharusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2012
Posts
14,493
Reaction score
7,419
Vp wadau, nani anatumia king'amuzi cha Canal+ kwa mikoa ya Pwani kama Dar, na mengine.. Wiki iliyopita nilikua kigoma nimekuta watu wamefunga hiki king'amuzi wanatazama mechi zote kwa bei nafuu sana, ni zaidi ya Dstv
 
Ila inaonekana wanachukulia Burundi,
 
Vp wadau, nani anatumia king'amuzi cha Canal+ kwa mikoa ya Pwani kama Dar, na mengine.. Wiki iliyopita nilikua kigoma nimekuta watu wamefunga hiki king'amuzi wanatazama mechi zote kwa bei nafuu sana, ni zaidi ya Dstv
malipo ni sh ngap kwa mwezi/ mwaka?
 
Canal + IPO Dstv mbona.sema makanjanja wanachukua baadhi ya station toka Dstv,star times,azam wanafanya hao.wenyewe wanaita cable
 
Niliongea na jamaa mmoja yupo kigoma anafanya biashara ya kuonyesha kandanda.

Aliwahi kutumia king'amuzi cha Canal+.Bei ya kifurushi kwa mwezi Tsh 45 elfu,mechi zote epl na laliga na ligue 1 baadhi ya ligi zinaonyeshwa, kwa ufupi kipo vizuri na bei ni poa kabisa.


Changamoto zake sasa malipo unalipia(unakwenda burundi kulipia) Burundi,hivyo inakubidi uwe na mtu ambaye anamawasiliano bora na hao watu waburundi.


Baadaye aliamua kuacha akabaki kwa super sport japo Kuna baadhi wanaendelea kutumia king'amuzi hicho.
 
Hata dsm mbona wengi wamefunga canal+, malipo kwa mwezi ni 37000 za kibongo kama utakuwa na mwenyeji akulipie burundi lakini kwa mawakala waliopo bongo wanawapiga watu hadi 45000
 
Hata dsm mbona wengi wamefunga canal+, malipo kwa mwezi ni 37000 za kibongo kama utakuwa na mwenyeji akulipie burundi lakini kwa mawakala waliopo bongo wanawapiga watu hadi 45000
Hapo changamoto nilizani kuna mawakala wa kueleweka, ningefunga kwangu
 
Hata dsm mbona wengi wamefunga canal+, malipo kwa mwezi ni 37000 za kibongo kama utakuwa na mwenyeji akulipie burundi lakini kwa mawakala waliopo bongo wanawapiga watu hadi 45000
Kina leagues zipi kiongozi
 
Mimi ningepata king'amuzi chenye ma channels ya kutosha yamovies ningekua mteja,mpira sio inshu sana kwangu.

Nna Dstv, wana channels lkn gharama zao kibongo kibongo sio rafiki,azam niliwahama zaidi ya zile mbc2 hawana channel za movie za maana.

Android tv box nikiifikiria naona gharama itakua kwny matumizi ya bando so sija save chochote,any msaada wajomba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom