Unatakiwa ku host.
Buni domain name yako kisha ilipie kwa hosting agents ugapewa account yako CPnael ambapo uta upload files na database zako..YOU ARE DONE
mkuu hapa sijaelewaUnatakiwa ku host.
Buni domain name yako kisha ilipie kwa hosting agents ugapewa account yako CPnael ambapo uta upload files na database zako..YOU ARE DONE
maelezo machache sana mkuuTembelea www.freewha.com tengeneza subdomain then upload
Kweli bro umefamya HTML ,umefanya CSS na umepata web yako na hujui kuwa kuna kitu kinaitwa HOSTING?Wakuu naomba ushauri wenu hapo , baada kudesign website kwa kutumia HTML na CSS ,je nifanyaje ili website yangu iweze kuonekana mtandaoni
Na kwann leo hii mtu ukae kuhide kweye subdomai badala ya kuwa live kwa domain yako mwenyewe maana siku hiz kuna hosting mpaka za shi 4k za kitanzania kwa mwezi!?Tembelea www.freewha.com tengeneza subdomain then upload
Nafanya domain registration pamoja na web hosting kwa sh 75,000 kwa mwaka. Nakupa cpanel account utayotumia ku upload content na kutengeneza email accountsWakuu naomba ushauri wenu hapo , baada kudesign website kwa kutumia HTML na CSS ,je nifanyaje ili website yangu iweze kuonekana mtandaoni
Ipo sana hii mkuu..Mimi mpaka mwaka wa pil chuo nilikua sifaham mambo ya hosting na sio mbali sana it was 2012 tu hapoKweli bro umefamya HTML ,umefanya CSS na umepata web yako na hujui kuwa kuna kitu kinaitwa HOSTING?
alphonce.NET ameweka namba hapo mcheki..Nyoosha mkono ndio kilichobakimkuu hapa sijaelewa
Ok.Ipo sana hii mkuu..Mimi mpaka mwaka wa pil chuo nilikua sifaham mambo ya hosting na sio mbali sana it was 2012 tu hapo
Mkuu umefikia wapi?Wakuu naomba ushauri wenu hapo , baada kudesign website kwa kutumia HTML na CSS ,je nifanyaje ili website yangu iweze kuonekana mtandaoni
Bei zako nafuu sana,Nafanya domain registration pamoja na web hosting kwa sh 75,000 kwa mwaka. Nakupa cpanel account utayotumia ku upload content na kutengeneza email accounts
0767659145, 0787659145
Huyu anajifunza why anunue domainNa kwann leo hii mtu ukae kuhide kweye subdomai badala ya kuwa live kwa domain yako mwenyewe maana siku hiz kuna hosting mpaka za shi 4k za kitanzania kwa mwezi!?