Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

WANA JF, HABARI. Ninamiliki modem ya vodafone zte3570. na imichakachuliwa. LAKINI CHA AJABU NI KWAMBA... 1. Nikiweka laini ya mtandao mwingine inawasha taa ya kijani(badala ya blue) 2.Niki...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
http://www.engadget.com/2011/06/23/nokias-first-windows-phone-images-and-video/ <a href="http://www.engadget.com/2011/06/23/nokias-first-windows-phone-images-and-video/">
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani sikufahamu hii nikajikuta nimegundua bila kujua,inawezekana we unafahamu ila kwangu ni mara ya kwanza kuona,naomba jaribu kwenye computer yako,fungua browser ya google chrome,halafu shift...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalam wa magari naomba kueleweshwa neno hili lina maana gani? USER FULL OPTION. Asanteni sana kwa mchango wenu wa mawazo.
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Website ya mahacker wapya ambao walihack website za FBI, CIA na US Senate, sasa hivi ipo down, na hivi karibuni wamehack website ya law enforcement ya Arizona. Wamarekani wanakaribia kupitisha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Twitter users and the courts go to war over footballer's injunction Social networks accused of making 'an ass of the law' as injunction spirals into online battle over freedom of...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Hi guys, I'm working with a certain company offering outsource services for projects requiring programming skills. Any one interested and want to know more about this, please drop me an email /...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wadau nisaidieni, nahitaji car security system zile ambazo kuna hidden switch kama mtu hajui ilipo hawezi kuwasha gari pamoja na alarm yake, zinapatikana wapi hapa Dar na kwa sh ngapi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Naomba msaada kujua ubora wa hizi laptop zinazouzwa kwenye vodashops hapa nchini, nina mpango wa kununua lakini mimi si mtaalamu wa kujua ubora wa vifaa hivi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
10.Alois Irlmaier Irlmaier was a simple German man who, in the 1950s, made predictions of a third world war. This is a small sampling of what he claimed the third world war would look like...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wana technology,ni hivi nataka ku start biashara za mitandaoni,namaanisha nataka kuanza blogs zangu zitakazonipa mahela,lakini bado sijajua ni kompyuta gani latest(pentium)nzuri na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu, naomba mwenye software ya ku-convert DVD to MP3 anisaidie. Natanguliza shukrani!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naombeni key za karspersky..pls. 2012..or any..ya kwangu meisha leo
0 Reactions
3 Replies
873 Views
Niko Dar naomba msaada mwenye hiyo program anisaidie nahitaji kwa ajili research yangu. I need any version but i will be more grad for latest one. We can negociate for payment contribution.
0 Reactions
1 Replies
411 Views
Wadau Nataka kusoma CCNA na MCSE mnawaze nishauri ni vyuo gani vinafundisha vizuri?
0 Reactions
3 Replies
937 Views
BarCampDar 77 | We have watched vibrant tech events take place elsewhere in East Africa and wondered when it would happen in Tanzania. The wait is over and we’ve finally got our act together. A...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mu hali gani? Naombeni msaada nimejaribu kutumia live cd ya ubuntu version 9.04 kwenye laptop hp pavilion dv5-2155dx yenye specification hizi processor intel i3 ram 4 gb graphics by intel...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
~DF66CB.tmp, Perflib_Perfdata_c6c These viruses are killing my pc help plz on how to take them off, I can't delete their extentions.
0 Reactions
1 Replies
803 Views
MH!! ok Juzi nilikuwa na mkutano jengo moja hapa mjini ni refu lina kera floor nyingi....hivi nikawa nimechelewa sababu ya mafoleni ghafla nikakumbuka Trick moja hivi ya kufanya ili nikipanda...
1 Reactions
24 Replies
50K Views
computer yangu ilikuja na windows vista installed. nika reinstall windows 7. Sasa hivi inachukua muda mrefu sana kufungua Internet. Please Help
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…