Nina simu yangu samsung gt c3212. Je ina uwezo wa kutumika kama modem kwenye pc yangu? Kwani nimejaribu ku install pc studio 3.2 lakini inashindwa kutambua.kama ndio hatua/vitu vipi vya...
Today in this post Ill teach you how to protect your email account from being hacked. Nowadays I get a lot of emails where most of the people say My Email account is hacked please help . Now...
Due to ever increasing threat from virus and other malicious programs, almost every computer today comes with a pre-installed antivirus software on it. In fact, an antivirus has become one of...
Most of you might be aware of the fact that it is possible to use Windows 7 and Vista for 120 days without activation. This is actually possible using the slmgr -rearm command which will...
Nahitaji new brand desktop computer ambayo iwe na specs zifuatazo.
*processor core 2 duo *ram 2GB
*HDD >= 250 GB
*screen TFT 17"
*DVD +- RW
isiwe cloned computer, if ikiwa na os itakuwa...
ningependa kufahamu kuna uwezekano wowote wa kuweza kuunganisha dvd deck na monitor ya computer bila kutumia PC,au mayb labda kuna kifaa chocho nachoweza kutumia kuweza kufanya hiyo connectin and...
How to Write-Protect USB Flash Drive
Many a time, it becomes necessary for us to write protect our USB flash drive so as to protect it from viruses and other malware programs. Because flash drives...
Nina simu ya samsung B-5722, nahitaji kuplay you tube video lakini nimetafuta software iliyo compartible ambayo inarun kwenye java i.e "***.jar". Please, anayejua hiyo software naomba anisaidie...
Wakuu mambo vp? Kwanza nielimisheni YOU TUBE ni nini? Halafu naombeni msaada nifanyeje ili niweze kuangalia video za You tube kupitia kwenye simu yangu aina ya Nokia E61i
How Can I Quiet a Noisy Computer Fan?
Whitson Gordon - Dear Lifehacker,
My laptop fan is super loud, and I can't seem to get it to quiet down. It's all BRRRRRRRRRR the whole day, and I'm like...
Ndugu wanajamvi naombeni msaada jinsi ya kuondoa IT restrictions kwenye blackberry internet services....nimegoogle kila kona ila inashindwa kufanya kwangu....msaada tafadhali...
Jamani wanaJF wote hamjambo? Ninalileta kwenu hili msaidie kama linawezekana.Hivi ktk simu zetu za mkononi hakuna uwezekano wa ku_divert (kuchakachua) maongezi kati ya mtu na mtu ukaweza...
nimeamua kuomba msaada nataka kufungua website hii earthjournalism.net lakini kwenye computer yangu kila nikijaribu inasema the website may be temporariry down inaleta ile page ya black and white...
While it is true that there has been substantial drop in telephony charges,the goings on happenings in data arena are worrying to say the least.Data count(kB) as reported my service provider has...
Heshima mbele wakuu,
Kwenu TBC na Mkurugenzi TBC.
Kwanza kabisa, mimi Radio Producer nawapa pole kwa majukumu mengi na magumu mnayoyapitia katika suala zima la kuifanya TBc isonge mbele...
je kuna uwezekano wakuweka(install) microsoft mbili kwenye laptop na zikafanya kazi?mfano 2003 na 2007?
wadau hebu nipe akili hapo na pia nikiidownload italeta shida?manake nina 2003 nataka...
WanaJF, heshima kwenu.
Naomba msaada namna ya kufungua simu aina ya vodafone 735 ili iweze kutumika na mitandao yote.
Kwa sasa inatumika na vodacom pekee.
Natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.