Tympa
Member
- Mar 19, 2011
- 99
- 25
WANA JF, HABARI.
Ninamiliki modem ya vodafone zte3570. na imichakachuliwa. LAKINI CHA AJABU NI KWAMBA...
1. Nikiweka laini ya mtandao mwingine inawasha taa ya kijani(badala ya blue)
2.Niki connect laini nyingine isiyo ya voda, modem inajizima na kujiwasha(kama vile mtu kachomoa na kuchomeka instataneously)
3.Nikiweka laini ya vada, mambo yanakuwa shwari na natumia kama kawaida(hapa inawasha taa ya blue)
NAOMBA USHURI WENU ILI NISOLVE PROBLEM NO. 1 & 2
Ninamiliki modem ya vodafone zte3570. na imichakachuliwa. LAKINI CHA AJABU NI KWAMBA...
1. Nikiweka laini ya mtandao mwingine inawasha taa ya kijani(badala ya blue)
2.Niki connect laini nyingine isiyo ya voda, modem inajizima na kujiwasha(kama vile mtu kachomoa na kuchomeka instataneously)
3.Nikiweka laini ya vada, mambo yanakuwa shwari na natumia kama kawaida(hapa inawasha taa ya blue)
NAOMBA USHURI WENU ILI NISOLVE PROBLEM NO. 1 & 2