Wadau mu hali gani?
Naombeni msaada nimejaribu kutumia live cd ya ubuntu version 9.04 kwenye laptop hp pavilion dv5-2155dx yenye specification hizi
processor intel i3 ram 4 gb graphics by intel imekubali kuload kila kitu mpaka mwisho ila unapofungua application yoyote kwa kuright-click ili upate pop up menu inayokuwezesha either kucopy au kudelete kitu inakuwa hairespond chochote/option hazitokei ila ukidouble click kama ni folder linafunguka.
Wadau je hii inatokana na nini na je nifanyaje ili niweze kuitumia kama kawaida.....
Naombeni msaada nimejaribu kutumia live cd ya ubuntu version 9.04 kwenye laptop hp pavilion dv5-2155dx yenye specification hizi
processor intel i3 ram 4 gb graphics by intel imekubali kuload kila kitu mpaka mwisho ila unapofungua application yoyote kwa kuright-click ili upate pop up menu inayokuwezesha either kucopy au kudelete kitu inakuwa hairespond chochote/option hazitokei ila ukidouble click kama ni folder linafunguka.
Wadau je hii inatokana na nini na je nifanyaje ili niweze kuitumia kama kawaida.....