naomba yeyote anayeweza kunisaidia jinsi ya kuweza ku-install TTPod {application/software ambayo inaweza ku play lyrics za wimbo unapo play miziki ya kizungu kwenye simu} mi natumia nokia 5320...
Nina nokia E50, nahitaj kudownload facebook chat, ile inayoonyesha walio online,na kuchat bla kurefresh. Nimejaribu nmeshindwa,msaada w link. Nawasilisha.
This Tutorial will show you how to get Firefox running fast
1. Enable pipelining
Browsers are normally very polite, sending a request to a server then waiting for a response before continuing...
Wakuu naomba mniwezekshe kupata call back kwenye cmu yangu ya wimbo wa Hello -Husein machozi ft Maundo Zorro.
Ni wapi wanatua huduma hii?
nimejaribu ku-google kachumbali flavour naona hawako online.
Wadau kuna blackberry nimetumiwa kutoka nje aina ni script naona haina lain,je wakuu hakuna visoftware tunaweza kuiongiza ndani yake tukatumia lain za bongo?wajanja nipeni utundu
Desemba 21, 2012: tarehe ya mwisho wa kalenda ya kisasa Long Count umba Maya kale katika Amerika ya Kati. Countless books and websites, magazine articles and newspaper headlines debate its...
habarini wana jf, nina modem yangu aina ni huawei, model- E153u-1, IMEI:352375045146925, naitaji kama kuna mtu mwenye uwezo wa kunipa code ya kuchakachua. Ahsanteni.
Heshima kwenu wakuu wote wa JF. Napenda kufahamu endapo kuna uwezekano wa simu ya blackberry kutumika kama external modem.
Mwenye kujua tafadhali atujuze ili nasi tupate ujuzi.
Thanks!
Habari za kazi wanaJF? Nataka fanya partitioning kwa hard disc ya comp yangu, naomba msaada nafanyaje ili niweze kuwa na for example; hard disc drive "C", "D" and so on....tafadhali naomba...
The Apple iPhone rumors go into overdrive this year because Steve Jobs didn't introduce the 2011 model at WWDC and Bloomberg is reporting that the next iPhone (iPhone 5? iPhone 4GS?) will land in...
Cooking Oil Used For Plane Fuel
By Orlando Parfitt
Dutch airline KLM have dreamt up an ingenious way to cut their carbon emissions: they will power their flights with biofuel made from...
Wadau nimeshindwa ku-activate Bluetooth kwenye laptop yangu ili niweze kuhamisha vitu kama music kutoka kwenye computer kwenda kwenye simu "and vice-versa".
Naomba msaada
salam ndugu zangu naombeni msaada ni chuo gani kizuri kusoma cisco. hapa Tanzania. ndio nataka kuanza kusoma na what are the steps of joining and payments. thanks in advance
Wataalam wa haya mambo naomba mtujuze,which is better kati ya ipad na playbook.Hii playbook imekuwa launched na blackberry na wanajitangaza kwamba ni bora kuliko ipad.Mnasemaje wataalam...
LAPTOP YANGU IMEPATA MSHKERI.
NIKIIZIMA INAZMIKA VIZURI lakini NIKIIWASHA HAIWAKI MPAKA NIWEKE OS CD NDO INABOOT.
HAPO NDUGU WADAU TATIZO NI NINI & NINI UFUMBUZI WAKE
wadau nina photoshop cs4 ambayo haitaji key or activation tatizo nimei zip lakini bado system inasema file to large nataka kui upload ili wadau wapenda graphic design waitumie, nimesahau wapi...
Kamanda Mwema Polisi na viongozi husika kwa karne hii ya sayasni na teknolojia Polisi jamii sio kuhishia kutoa number za ma RPC tu.
Tunataka tupate umber za wakuu wa vituo tulivyo karibu...
Wandugu poleni na mikikimikiki ya mchana ya kujipatia mkate wa siku.Naombeni mnisaidie ni jinsi gani naweza kununua software mbalimbali kutoka kwenye NOKIA OVI STORE? Tafadhali naombeni msaada wenu.