Inawezekana kama uko kwenye mpango wa BES na sio BISHeshima kwenu wakuu wote wa JF. Napenda kufahamu endapo kuna uwezekano wa simu ya blackberry kutumika kama external modem.
Mwenye kujua tafadhali atujuze ili nasi tupate ujuzi.
Thanks!
meipenda hiilife was much easier when apple and blackberry were just fruits.