sharobaloooo si zote wazipata bure, ntaftie facebook ya nokia e71 ipo only available ovi store. Mimi nafanya transaction na card yangu ya crdb fuata mtiririko huu
1.nenda bank mapokezi watakuelekeza mhusika anaeshughulika na hayo mambo
2.mhusika atakupa fomu utajaza na aina ya transaction utaitaja
3.baada ya masaa 24 utaweza tumia kadi yako kwa internet then nafkiri after week yajifunga tena
crdb na benki nyengine wameeka hivi kutuprotect na dunia ya mahackers la sivyo tungelizwa kila siku.
Labda kuwatahadharisha account namba ya ki interner na security si zile za atm jamani ficheni kadi zenu yale manamba meeengi pale mbele ndo kadi no na herufi 3 za nyuma ya kadi ndo security, be careful na hackers ila ovi store ipo safe 100