Ninayo website yangu. Nilifungua email account info@kaalamoto.com kwenye hii hii website kule kwenye webmail.
Nilizoea kuweka email address yangu na password kisha naingia ndani na nahudumia...
Thank you for using Airtel services. You have already used 0MB of your 0MB bundle, Your remaining balance is 0MB.....
kila nikiuliza balance ya bundle wananipa huu upuuzi., je ni kwangu peke yangu...
Zitto Kabwe wa CHADEMA ambaye anasoma bajeti mbadala ya upinzani sasa hivi Bungeni amekuwa Mbunge wa kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia teknolojia ya kisasa kufanya...
MAMLAKA ya Mafunzo na Ufundi Stadi Tanzania (VETA) imesema kuwa wameunda gari linalotumia mfumo wa sola.
Mtafiti wa Soko la Ajira wa VETA, Abdallah Mhagama, alisema gari hilo walilolibuni halina...
Wakuu nina Pon-Blocker ambayo ime-expire, sasa inablock hata programmes zangu za kawaida, nataka kuiunistall lakini nimesahau password, naomba msaada wa jinsi ya kuiondoa please kwa anaefahamu...
Wadau, nahitaji laptop ya kununua iwe kwenye hali nzuri, na iwe na hard disk ya 8ogb n above, ram ya 1gb n above, the rest t doesnt matter. Msaaada tafadhari.
Mukhtasari wa habari I. France Says Yes to Nuclear
II. European Nation Refuses to Let Itself Fall Victim to Paranoia, Misinformation
III. Where's American Bravery Now?
Kwa habari kamili soma...
Habari zenu wana IS,
Jamani nisaidieni. Napata blue screen error nikiwasha PC yangu.
Imetokea hivi: Nimenunua mouse mpya ya USB na kuichomeka kwa PC yangu. Nikawasha PC na ika-detect ile mouse na...
Naomba nifahamu ghorofa standard yenye urefu wa mita 20 na upana wa mita 10 inahitaji nondo za aina ngapi na kwa idadi ipi ili kukamilisha ile level ya kwanza tu bila kuhusisha zile zilizoko...
nina dell d430 sasa nimesahau bios password nimejaribu kutoa batt and ram for 3days even a wk lakini still siikumbuki vizuri kila nkijaribu inanigomea na nkiingizamara tatu inazima naomben msaada...
Recent IT market research studies have found that the broad popularity of the iPhone, Android phones, and iPad have created a new phenomena at the office; BYOD or Bring your own Device. Users...
Google+ a New Competitor To Facebook & Twitter?
It's looks like Google is taking it serious in the social network world!
After the aheim "failure" on attempted Google Wave, the lesson also...
Hapa naandika nikiwa nimenuna sana, hata dakika tatu hazijaisha kuna mpuuzi kaingia kwenye banda langu hapa sabasaba wakati nampatia maelezo kuhusu shughuli za kampuni yangu kajisevia Blackberry...
KUWA NA WEBSITE NI JAMBO LA KUAMUA TU. HATA KWA WALE AMBAO HAWANA UTAALAM MKUBWA WANAWEZA KUWA NA WEBSITE.
KITU CHA KWANZA NI KUFUNGUA FREE HOSTING ACCOUNT AMBAYO ITAKUPA:
FREE MYSQL DATABASE...
Nina laptop HP ina AMD Turion processor. Tatizo lake ni kuwa unapoiwasha inakuwa kama inawaka halafu inajizima na kutaka kuwaka tena . hiyo process inajirudiarudia hivyo hivyo. mara nyingine...