Hivi airtel wako siriaz kweli....?

Hivi airtel wako siriaz kweli....?

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,145
Thank you for using Airtel services. You have already used 0MB of your 0MB bundle, Your remaining balance is 0MB.....
kila nikiuliza balance ya bundle wananipa huu upuuzi., je ni kwangu peke yangu au na nyie yanawakuta haya?
 
mimi niliona sielewi haraka nikaamua kupotezea
 
Thank you for using Airtel services. You have already used 0MB of your 0MB bundle, Your remaining balance is 0MB.....
kila nikiuliza balance ya bundle wananipa huu upuuzi., je ni kwangu peke yangu au na nyie yanawakuta haya?

Wanata wa kwamgue salio lote lililoko kwenye modem/sim card yako, wakikupa ukweli utasituka na kujiunga kwenye bando haraka, kwani kwenye bando wanakula hasara.
 
kwa mara ya mwisho hiyo bundle yako , ilikuwa umetumia ngapi? kama mpya ndo maana haijaungika. kwangu mie iko poa tu mbona
 
yani kifupi hujajiunga na bundle ndo server inavosoma. Kama mimi msahaulifu naweza ninunue credit halafu nsiunge bundle(akilini najua nimeunga) nkatumia credit yote baadae ndo nishtuke kua skuunga
 
mm huwa furesh tu,najiunga safi na salio wananionesha safi. Pole sana
 
sasa mkuu ulitaka liandike una salio 0Mb katika 400 Mb wkati ujaweka salio ni ngumu sana mkuu..
 
Hata Voda wanatatizo hilo "Kwa sasa hauna kifurushi cha data/You currently have no data bundle" ila bado niko connected. inaboa saaana
 
yani kifupi hujajiunga na bundle ndo server inavosoma. Kama mimi msahaulifu naweza ninunue credit halafu nsiunge bundle(akilini najua nimeunga) nkatumia credit yote baadae ndo nishtuke kua skuunga
bundle ipo natumia mpaka muda huu.
 
Sasa mimi bundle yangu ya 400mb imeisha nimeweka pesa ninunue bundle nyingine wananiambia maliza ya kwanza ndio ununue ya pili wakati inasomma 0 kabisa yaani nimechoka kabisa.
 
Sasa mimi bundle yangu ya 400mb imeisha nimeweka pesa ninunue bundle nyingine wananiambia maliza ya kwanza ndio ununue ya pili wakati inasomma 0 kabisa yaani nimechoka kabisa.
jamaa wanaboa, mi mara kibao wananizingua hata kunua
 
Back
Top Bottom