Naombeni msaada jamani.Pc yangu haitaki kucopy kitu chochote.Ukicopy wakati una paste ina stak na mchezo unaishia hapo hapo. JE tatizo ni nini?NI DESKTOP DELL GX 270...
Wakuu wa JF !
Am looking to study into AUTOCAD, REVIT and 3ds MAX.
Plz tell me any organization who can teach me, or a teacher who can teach ?
PLZ PM !
Please click the links below:
Particles found to break speed of light | Reuters
CERN observes sub-atomic particles travelling faster than light - The Frontline - a blog from V3.co.uk
Kama una tablet au simu ya android , bila kusahau internet inayoeleweka unaweza ukafurahia kuangalia TV online.
Uzuri wa hii app (tofauti na nyingine nyingi) haikupeleki kwenye website za...
WanaJF mambo vp?natumai hamjambo.Jamani naomba kuuliza kwa sisi tunaotumia simu kwenye facebook ni browse ipi iliyo nzuri kama ilivyokuwa BOLT maana ulikuwa na uwezo wa kuona ni nani aliye ONLINE...
Nimewahi kusikia kuwa NBC wana huduma ya kufanya trunsactions kwa kutumia simu ya mkononi. Kama ni kweli anayefahamu atujuze namna ya kujiunga. Wenzetu wa CRDB wanajiunga kwa kupiga *150*03*
Chondechonde wadau wa hii forum,natafuta display/ screen /kioo cha laptop yangu dell inspiron 1464 mwenye kujua nakoweza kupata anijulishe tafadhali.kilichopo kimekufa .asanten
Wadau natumia laptop aina ya ( hp compaq ) q40 hapo nyuma iliwah leta usumbufu fund akanibadilishia window akaniwekea hii window imeandikwa (vista busness) naona kama si nzur kwasabu webcam(...
Wadau laptop yangu dell,nikiiswitch on inashindwa kuboot na inaonesha message "disk error press alt ctr dell to restart"kila nikipress hizi keys inarestart na kudisplay the same message nifanyeje...
msaada window 7 kila nikizima na kuwasha haisave changes inasema temporary desktop yaani hata nikisave kitu ktk desktop nikiwasha kinafutika na pia screen saver vile vile.
Wakuu nna printer ambayo ina siku mbili tu. Walinipa wino wa kuanzia<cartridge>, lakini cha ajabu umetoa copy zisizozidi 40. Je naweza tumia wino wa maji? Kama ni ndiyo, nitaweka kwenye hzi cartridge?
Nataka kubadilisha OS kwenye my laptop kutoka window XP to window 7
Sababu: Hii window XP kama imekaa kizaman zamn afu imecorrupt ama kuna file zimemiss so inazingua...
Msaada:Nani anaweza...
WanaJF wenzangu mambo vp? Natumai mu wazima,kwa wanaosherehekea sikukuu ya krismas mambo yanakwenda sawa. Naombeni kuuliza kwa wanaofahamu ni browse gani iliyo nzuri kama ilivyokuwa BOLT au zaidi...
Nimedownload LCG JUKEBOX nikapewa trial kama dakika 5, baada ya hapo nikatakiwa kuweka unlock! Naomba kwa yeyote anayeweza kunisaidia unlock key anisaidie! Natumia nokia 5320 xm(s60 v3)...