Wadau nisaidieni kutoa avast kwenye laptop,nimeenda control panel kuliko programs sijaiona.Sijajua itakuwa wapi,msaada plse!
Nawasilisha!
Kuna jamaa aliazima laptop yangu kama miezi 3 hv,kuirudisha amefanya kama alivyofanya kama ya kwake,kafuta vitu muhimu vya kwangu na akaweka vya kwake pamoja na hiyo antivirus,yaani kimeo mkubwa natafuta hadi kichwa kinauma! thxuna uhakika umeinstall vizuri?
Kuna jamaa aliazima laptop yangu kama miezi 3 hv,kuirudisha amefanya kama alivyofanya kama ya kwake,kafuta vitu muhimu vya kwangu na akaweka vya kwake pamoja na hiyo antivirus,yaani kimeo mkubwa natafuta hadi kichwa kinauma! thx
download kafile kanaitwa avasti remover halafu ukarun inamaliza mchezo
Mtafute Sugu