I9ngia kwenye BIOS Set up kishacheki kama inasomeka fresh na specification zake ziko pouwa. /QUOTE]
Mkuu hapo umepatia sana, yaani mimi huwa nashindwa kwa nini watu wanakimbiliaga ku-format HD bila kuangalia SETUP kwenye BIOS za Computer zao kabla ya kufanya drastic changes ambazo mara nyingi hazihitajiki - mtu akiwa anaelewa vizuri bootup steps zikoje hawezi kukimbilia ku-format HD kabla ya kuangalia kama BIOS inaona primary drive kwanza na kwa BIOS za siku hizi you don't need to define naba za cylinder,sectors,type ya media yenyewe and what have you; vyote hivyo vinakuwa detected automatically au ku-press enter wakati cursol hikiwa kwenye Primary drive, hilo likishindika ndiyo unaweza kufikilia ku-reformat drive. Please remember kwamba computer hai-load operating system kabla haijafanya Power on self test na ku-load specs zote ambazo ziko defined/enabled kwenye Setup ya BIOS. Operating Sytem inakuja mwisho kabisa.