Msaada wa haraka tafadhali wakuu.

mashambani kwao

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
370
56
Natumia simu aina ya NOKIA 6200 wakuu katika cm hii kuna mahali pa kuifanya kama pcmode lakini nashindwa kutoa michango kupitia mtindo huo.Kwa hiyo naomba kufundishwa matumizi.Sasa natumia upande wa Jfmobile;pia jinsi ya kuplay video,kusoma faili,asanteni sana naomba kuwasilisha.
 
PC mode inafanya iwe slow sana kwa matumizi ya simu. Tumia JF mobile tu. . . . .

Unataka kujua jinsi ya kuplay video wapi na kisoma mafaili wapi?
 
Back
Top Bottom