mashambani kwao
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 370
- 56
Natumia simu aina ya NOKIA 6200 wakuu katika cm hii kuna mahali pa kuifanya kama pcmode lakini nashindwa kutoa michango kupitia mtindo huo.Kwa hiyo naomba kufundishwa matumizi.Sasa natumia upande wa Jfmobile;pia jinsi ya kuplay video,kusoma faili,asanteni sana naomba kuwasilisha.