Msaada bundle za airtel

Msaada bundle za airtel

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
361
Wadau naombeni mnisaidie katika hili kwasababu hata sielewi tatizo nini,nikiwapigia customer care wanasema watalishughulikia lakini nimekaa masaaa kama saba hivi bila solution.
Tatizo lenyewe ni kwamba kila nikijaribu kujiunga na bundles za airtel natumiwa message hii
"Dear customer. Sorry, you are not allowed to use this service. The tariff plan that you are currently on has better benefits than the one you are requesting."
Sasa nashindwa kuelewa kwasababu sijaunga na tariff plan yoyote,hivyo naomba yoyote anayefahamu jinsi ya kusolve tatizo hili anisaidie
 
Hivi unazungumzia ile bunddle ya mb 400 kwa mwezi mzima au kuna nyingine? Kama ni hii pga 100 usikilize namna ya kujiunga na hii huduma. Kuna neno unatuma kwenda 15444. Kama unazungumzia huduma nyingine sielewi!
 
Back
Top Bottom