Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habarini Wadau wote humu. Naombeni msaada nahitaji kujua simu yenye kamera inayotoa picha Bora zaidi kwa matumizi ya kibiashara. Picha inayoonesha uhalisia wa kitu na mazingira. Ili wateja wakiona...
3 Reactions
29 Replies
10K Views
Nimenunua simu ya Infinix HOT 12i hata mwaka haujaisha juzi ghafla imekufa bila kudondoka hai display chochote naombeni msaada tafadhali anayejua sababu
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Nimekutana na mtu ana Bluetooth speaker inaitwa Lenyes s106,ina mziki mzuri sana ni ndogo lakini ina Bass nzuri, mwenye kuzijua tafadhali, kabla sijafanya maamuzi ya kuinunua, ubora wake ukoje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama ulidhani kuwa Samsung Galaxy S23 Ultra na Xiaomi 13 Ultra ndio simu bora za Android mwaka 2023 basi hujaiona simu mpya inayotarajiwa kuachiwa kesho July 11 kutoka kwa kampuni ya Kichina ya...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari za muda huu wajameni natumai mko salama kabisa nami ni mwingi wa afya. Baada ya salamu husika na kichwa cha uzi huu hapo juu. Dah leo app ya Azam Tv Max kwangu nikiifungua inaniandikia...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Wadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
1 Reactions
42 Replies
10K Views
Mafundi/Supplier wa Decoder ya Digitek wamepotelea wapi, mimi nahitaji ku-update software ya hiki kisimbuzi maana kimebaki na local channel 5 tu.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Heading inajieleza wana jamvi, Hawa Tigo huduma yao ya internet iko chini sana (Low siku za hivi karibuni). Yaani bando linaisha tu bila kulitumia vizuri.
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari za humu, naomba msaada wa kutajiwa TVs bland nzuri kwa bei ya laki mbili mwisho ndo bajeti yangu, nipate tv flat inayoendana na hela yangu, natanguliza shukrani ๐Ÿ™๐Ÿ™
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa internet ya hapa kwetu bongo nimeona hii angalau ni nyepesi na inaokoa bando, wengi wakitumia mbinu ya apps kama utorrent muvi ya Gb 1 unakuta inatumia gb 1 na nusu, pia ukisahau kustop...
2 Reactions
3 Replies
733 Views
naombeni msaada kama kichwa cha msg hii kinavyojieleza hapo juu namba yangu nikijiunga na whatsap inaniandikia you need the official account to use these.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wandugu nahitaji kununua darubini kionambali naomba kama kuna anayejua aina zake ubora wake bei zake na mahali zinapopatikana hapa tanzania. Na je sheria hazina tatizo juu ya umiliki wa darubini...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Je, unapata matatizo na huu mtandao wa PayPal? Inbox chap chap nikusaidie.
0 Reactions
0 Replies
403 Views
Wadau niaje? Naomba kujua kwa wenye uzeofu na subwoofer, ipi ni brand nzuri, ina mdundo mzuri na inajitahidi kudumu. Ukiweka na bei utakuwa umenisaidia sana!
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau wa JF nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania. Naomba ushauri wa kitaalamu na uzoefu wenu, nichukue simu ipi kati ya hizo mbili hapo juu Kwa kutazama Performance, quality...
4 Reactions
87 Replies
6K Views
๐—๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฟ๐˜‚๐˜€๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ณ๐—น๐—ฎ๐˜€๐—ต ! [emoji189] Ghafla flash , memory card yako imeingliwq na virusi utafanyaje? Okay Leo nakuelekeza jinsi ya kuweza kuondoa kirusi anaitwa shortcut virus...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Majukwaa ya mitandao ya kijamii kama vile TikTok na Snapchat yatakabiliwa na uwezekano wa kuzimwa kama haitashughulikia maudhui yenye matatizo wakati wa ghasia chini ya sheria ya maudhui ya Umoja...
0 Reactions
2 Replies
793 Views
Wakuu salama umu? Kuna simu nilikuwa nayo ukipiga simu inakata mtandao mpaka umalize kuongea na mtu sasa nimebadili simu na natumia. Voda ila nikipiga simu internet haikati isipokuwa ina...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu matumani ni wazima naomba kuuliza kati ya Samsung note 9 na redmi note 10 pro simu ipo ni nzuri nataka nichukue moja wapo kati ya hizo bei kwa sasa zinalingana
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Wakuu, niwe brief ili nanyi muwe brief na hatimaye nielewe, Ni njia gani salama ambayo supplier anitumie vitu vyangu nikiwa mkoa tofauti na Dar Es Salaam? Kuna njia nyingi suppliers...
1 Reactions
41 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ