Kuna mwanadamu aliwahi kuniambia wanajeshi watakuzingua kwasababu wanaweza kuhisi unawapeleleza makambini mwao mfano ukiwa milimani halafu kambi za majeshi duniani mara nyingi zipo pembezoni mwa milima.
Kuna padri miaka ya sabini alimuona mwizi akimuibia nyumbani kwake vizuri KWA KUTUMIA darubini wakati padri akiwa umbali wa km 6 toka nyumba yake ilipo ! Darubini ni nzuri sana wajameni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.