codifier
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 439
- 854
Wadau wa JF nawasalimu Kwa Jina la Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania.
Naomba ushauri wa kitaalamu na uzoefu wenu, nichukue simu ipi kati ya hizo mbili hapo juu Kwa kutazama
Performance, quality and technology.
Zote ni 128gb Memory.
Karibu Kwa maoni na ushauri mana nimechoka kutumia Infinix.
Nimeandaa cash 500k.
Naomba ushauri wa kitaalamu na uzoefu wenu, nichukue simu ipi kati ya hizo mbili hapo juu Kwa kutazama
Performance, quality and technology.
Zote ni 128gb Memory.
Karibu Kwa maoni na ushauri mana nimechoka kutumia Infinix.
Nimeandaa cash 500k.