project planner
JF-Expert Member
- Jul 8, 2019
- 1,166
- 1,532
Wakuu matumani ni wazima naomba kuuliza kati ya Samsung note 9 na redmi note 10 pro simu ipo ni nzuri nataka nichukue moja wapo kati ya hizo bei kwa sasa zinalingana
Sasa a 52 mkuu naona kama ina bei kubwa kidogo kulinganisha note 10 pro au vpHizi simu zimepigana bao sehem kadhaa... Samsung note 9 nzuri lakin inakosa vitu vipya.....coz ni simu ya mda kidgo...
Sababu za kununua note 10 pro
Utapata brand new sio refurbished kama hiyo note 9
Utaenjoy performance...note 10 pro kweny test za antuntu na geekbench imekalisha note 9
Utaenjoy fast memory 2.2 ufs
Utapata latest Android 11 compared na note 9 yenyew mwisho Android 10
Battery kubwa kweny note 10 sim inakaa sana na charge
Camera experience nzuri 108MP tena simu ina full google camera support hivyo utapata picha nzuri zaidi ukiwa na gcam
Quick fast charge ya watt 33 utachag haraka simu yako.tofaut na wat 15 za note 9
High developers support... xiaomi ana support nzur na kubwa kwa sasa kutoka developers..mfano unaeza ona ports za gcam karbia zote zina support mi devices
120HZ display,utaenjoy smoothness compared na 60hz ya note 9
Hayo ndio machache kwa haraka haraka utayofaidi compared na note 9
Kitu utamiss kutoka note 9..ni OIS kwenye camera na stereo video recording ambavyo kweny note 10 pro hutovipata...
So hapo kama ni mimi basi i ll go for note 10 pro...lakin piah kama unapenda sana Samsung basi a52 inakufaa ... ndio inachuana kwa karbu na note 10 pro kweny specs...
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ila gpu za flagship zinakuwa kali sana, Adreno 630 ina nguvu sometime zaidi ya mara 2 ya Adreno 618, hivyo perfomance wise note 9 itakuwa vyemaHizi simu zimepigana bao sehem kadhaa... Samsung note 9 nzuri lakin inakosa vitu vipya.....coz ni simu ya mda kidgo...
Sababu za kununua note 10 pro
Utapata brand new sio refurbished kama hiyo note 9
Utaenjoy performance...note 10 pro kweny test za antuntu na geekbench imekalisha note 9
Utaenjoy fast memory 2.2 ufs
Utapata latest Android 11 compared na note 9 yenyew mwisho Android 10
Battery kubwa kweny note 10 sim inakaa sana na charge
Camera experience nzuri 108MP tena simu ina full google camera support hivyo utapata picha nzuri zaidi ukiwa na gcam
Quick fast charge ya watt 33 utachag haraka simu yako.tofaut na wat 15 za note 9
High developers support... xiaomi ana support nzur na kubwa kwa sasa kutoka developers..mfano unaeza ona ports za gcam karbia zote zina support mi devices
120HZ display,utaenjoy smoothness compared na 60hz ya note 9
Hayo ndio machache kwa haraka haraka utayofaidi compared na note 9
Kitu utamiss kutoka note 9..ni OIS kwenye camera na stereo video recording ambavyo kweny note 10 pro hutovipata...
So hapo kama ni mimi basi i ll go for note 10 pro...lakin piah kama unapenda sana Samsung basi a52 inakufaa ... ndio inachuana kwa karbu na note 10 pro kweny specs...
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
A52 ni around laki 7 mpaka 8 hivi.Sasa a 52 mkuu naona kama ina bei kubwa kidogo kulinganisha note 10 pro au vp
Kama huna Ujuzi wa hizi simu mkuu vyema uchukue Note 10 pro. Utakuwa stress free.Wakuu matumani ni wazima naomba kuuliza kati ya Samsung note 9 na redmi note 10 pro simu ipo ni nzuri nataka nichukue moja wapo kati ya hizo bei kwa sasa zinalingana
Kwa sisi wapenda camera ni ngumu sana kuikosa OIS.Hizi simu zimepigana bao sehem kadhaa... Samsung note 9 nzuri lakin inakosa vitu vipya.....coz ni simu ya mda kidgo...
Sababu za kununua note 10 pro
Utapata brand new sio refurbished kama hiyo note 9
Utaenjoy performance...note 10 pro kweny test za antuntu na geekbench imekalisha note 9
Utaenjoy fast memory 2.2 ufs
Utapata latest Android 11 compared na note 9 yenyew mwisho Android 10
Battery kubwa kweny note 10 sim inakaa sana na charge
Camera experience nzuri 108MP tena simu ina full google camera support hivyo utapata picha nzuri zaidi ukiwa na gcam
Quick fast charge ya watt 33 utachag haraka simu yako.tofaut na wat 15 za note 9
High developers support... xiaomi ana support nzur na kubwa kwa sasa kutoka developers..mfano unaeza ona ports za gcam karbia zote zina support mi devices
120HZ display,utaenjoy smoothness compared na 60hz ya note 9
Hayo ndio machache kwa haraka haraka utayofaidi compared na note 9
Kitu utamiss kutoka note 9..ni OIS kwenye camera na stereo video recording ambavyo kweny note 10 pro hutovipata...
So hapo kama ni mimi basi i ll go for note 10 pro...lakin piah kama unapenda sana Samsung basi a52 inakufaa ... ndio inachuana kwa karbu na note 10 pro kweny specs...
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Vipi ile samsung m52 ambayo ilitegemewa kuwa na specs za juu kuliko m51, ila wametoa m52 5g ambayo iko na specs ndogo kuliko maelezoA52 ni around laki 7 mpaka 8 hivi.
M52 5G haina specs ndogo, specs zake kali sana ni equivalent ya A52s 5G.Vipi ile samsung m52 ambayo ilitegemewa kuwa na specs za juu kuliko m51, ila wametoa m52 5g ambayo iko na specs ndogo kuliko maelezo
Laki 6 ama chini ya hapo. Tigo shop unazipata, zipo unlocked na unapewa GB za kutosha.Wakuu msaada kidogo, wapi naweza kuipata hiyo redmi note 10 pro na bei yake kwa hapa DSM!?
Asante mkuu, nimefuatilia tigo shop wanasema zimeisha ndio maana nikaulizia chimbo lingine.Laki 6 ama chini ya hapo. Tigo shop unazipata, zipo unlocked na unapewa GB za kutosha.
Laki sita na nusu better phonesWakuu msaada kidogo, wapi naweza kuipata hiyo redmi note 10 pro na bei yake kwa hapa DSM!?
Tigo shop zote ama ulioenda wewe tu?Asante mkuu, nimefuatilia tigo shop wanasema zimeisha ndio maana nikaulizia chimbo lingine.
Hivi na hizi pia ukinunua kwao huwa zinataka line ya tigo tu?Laki 6 ama chini ya hapo. Tigo shop unazipata, zipo unlocked na unapewa GB za kutosha.
Hazina lock ya Tigo mkuu, inakuwa mpya Unatumia line yoyote. Kama una mpango wa kununua wahi maana zinaisha haraka sana na bei ni rahisi sana kushinda Hata bei za Aliexpress na Kenya.Hivi na hizi pia ukinunua kwao huwa zinataka line ya tigo tu?
Niliulizia Arusha, kariakoo na Morogoro mkuu. Ila wameniambia niwe na subira wameagiza HQ next week zitakuwepo.Tigo shop zote ama ulioenda wewe tu?
Bei kiasi gani? Maana kuna simu naziona kwenye website ya Tigo ni ghali na dukani ni rahisi zaidi.Niliulizia Arusha, kariakoo na Morogoro mkuu. Ila wameniambia niwe na subira wameagiza HQ next week zitakuwepo.
650,000/=Bei kiasi gani? Maana kuna simu naziona kwenye website ya Tigo ni ghali na dukani ni rahisi zaidi.