Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 169
Wadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
Nunua Infinix Smart 6 kulingana na bajeti yakoWadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
Wadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
Chini ya laki 3 kuna simu mbiliWadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
Memory gb ngapGoogle pixel 3,3a na sony experia 8 bei zake i hiz camera kali ram nzur simu bomba
naomba unipe sifa za A13Jitahidi uongeze 100k ,ukachukue samsung galaxy A13
Nzuri sana,nimenunua juzi
Tsh ngap mkuuNi smoooth,ina spidi ya mtandao,kioo kipana chenye picha nzuri.ina muonekano mzuri na inapiga picha nzuri.ina chaji kwa haraka n.k.
Laki 4Tsh ngap mkuu
Mkuu Gb 128 pia ni laki 4???Laki 4
Hii nimewahi kuishika mkononi kwa dakika kadhaa, inaonekana ni simu nzuri na inakaa na chaji.Jitahidi uongeze 100k ,ukachukue samsung galaxy A13
Nzuri sana,nimenunua juzi
Simu ya kisenge hiiHii nimewahi kuishika mkononi kwa dakika kadhaa, inaonekana ni simu nzuri na inakaa na chaji.
Sanaa, hii simu inaiharibia jina SamsungSimu ya kisenge hii
330,000 redmi 10C juzi tu hapa nilipitia. Na 12C ni 320,000 japo sio nzuri kama 10C ila sio mbaya kama hujapata 10C.Kama ulivyoambiwa tafuta Redmi 10C
Ingawa kwa Tigoshop sijui bei yake lakini ukitumia simu yako kuangalia bei za simu Tigoshop utaona inauzwa kwa 375K, hii bei ni kubwa kwa Redmi 10C, 375K inapaswa kuwa bei ya Redmi 10, na sio Redmi 10C. Inaonekana Tigoshop bei ipo juu.
Kwa hiyo itafute tu huko mitaani Kariakoo n.k, Redmi 10C yenye 4GB RAM 64GB ROM unaweza kuipata kwa 310,000/= na ni chaguo zuri
Samsung Galaxy A03 ya 4GB 64GB unaweza kuipata kwa 270K Ila Redmi 10C ni nzuri zaidi
View attachment 2589715
Pia kama unatafuta used, options nzuri ni nyingi ila ni risky pia kununua simu used