Wakuu habari zenu.
Ndugu zangu nahitaji kufahamu kama laini za Airtel hazikubali kwenye simu ndigo ya kgtel maana nikiweka kwenye simu nyingine inakubali vizuri lakini nikiweka kwe simu tajwa...
Wataalam simu yangu imekataa kuondaa alama ya earphone. Hata nikichomeka earphone na kutoa bado alama hiyo haitoki. Hali hii imesababisha hata kukata sauti kwenye spika ya simu Ninaomba msaada...
Wakuu kwema?
Naombeni msaada jinsi ya ku update app ambayo nimepakua kupitia Google na sio Playstore.
App kama GB Instagram.
Msaada kwa anaefahamu.
Forgive me
Habari wakuu
Leo ningependa kuongea na wadau ambao wanapenda kufanya electronics.
Tufahamu kuwa technolojia inakuwa kila siku kwa speed kubwa sana lakini..
kitu kizuri ni kwamba katika kanuni...
Msaada wadau natafuta fundi Mzuri nasisitiza mzuri maana mafundi wa electronics "wengine" wabahatishaji.
Hivyo kama unafaham fundi anae jua kutengeneza hizi external hard drive Naomba anisaidie...
Wadau ivi kufungiwa whatsApp (ban) ni kutokufata zile sheria ZAO Au kuna kingine ,mana mm natumia whatsApp officiall ambayo ni whatsApp messager, juz waliniban nikawaomba walinifungilia nikazisoma...
Wakuu kwema? Nina simu janja yangu nikiweka mfukoni mara nyingi nakuta Camera imrjiwasha yenyewe
Tatizo hili nalitatua vip maana linamaliza chaji na kuua betri haraka
Tafadhali kama kichwa kinavojieleza, nina shida ya kuwasiliana na mafundi wa fani hiyo walipo ndani ya mkoa wa kigoma..
Shida yangu kubwa ni kuwa kama watakuwa tayari basi niwe mwanafunzi tu...
Our records indicate that the following
shipment has been delivered:
Reference:
326-977-201312261019-1540540
Ship (P/U) date:
Dec 26, 2013
Delivery date:
Dec 31, 2013 2:21 PM
Sign for by...
Habarini za jioni wanajukwaa
Leo nimeangusha laptop yangu, baada ya kuiwasha ikawa inawaka lakini mwanga umekuwa hafifu mno kana kwamba nimepunguza Hadi level ya mwisho
Nimejaribu kuichunguza...
Nipo interested na mambo haya ila nilipotaka kufatilia nilikuwa nazungushwa sana, nikaja kugundua kwamba hii kazi ya blogging wanaotusua ni wale wanaotumia njia nyeusi na ndio mana hawapo open...
Habari wakuu,
Nina Sony home theatre, hivi karibu iligoma kuonesha any signals pale mbele kwenye kidude cha ku display.
Nikaipeleka kwa fundi, katika uchunguzi alisema kifaa ambacho nimeweka...
Watumiaji wa opera browser mnaarifiwa kuwa opera wameongeza Aria browser AI bot kwa ajili ya kuchat na wewe. Unauliza swali unapewa majibu. Ni kama ChatGPT lakini yenyewe haihitaji kulipiwa...
Kwenye fight ya mwisho kratos god of war mwenyewe pamoja na mtoto wake atreus na shemeji yake Freya wote wanashirikiana kumpiga Odin (Jambazi kuu).
Uzuri wa Hii game ni kuwa ina story nzuri sana...
Sijaona robot ambaye yuko emotional kama yule wa Airtel.
Nazani mama mpaka Leo anajua yule jamaa ni Robot. Kwa maana ile siku alimsifia kweli kweli , bila ya kujua ni mtu
Na bado sijajua elimu ya...