R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Nipo interested na mambo haya ila nilipotaka kufatilia nilikuwa nazungushwa sana, nikaja kugundua kwamba hii kazi ya blogging wanaotusua ni wale wanaotumia njia nyeusi na ndio mana hawapo open.
Bloggers wa mikato hawa wala haishangazi kuchapa hata dola 2,000+ kila mwezi japo huwa ni wasiri mno, mtu wa kawaida huwezi kujua hata kazi anayofanya, we utaona tu jamaa yupo ndani lakini ana usafiri, apartment ya laki 4, mtoto anasoma shule private, mke anapiga shopping za maana, n.k.
Binafsi napenda zaidi blogging safi ambazo hata siwezi kujitambulisha kwamba mimi ni blogger na naweza kumuelekeza mtu kila nachofanya bila hofu,
Tatizo linakuja kwamba hizi blogging safi unakuta mtu anaambulia dola 300, ila pengine labda utafiti wangu haukugusia maeneo ambayo siyajui ningependa tujadiliane.
Je, Tukiachana na bloggers maarufu kina millard Tza, hizi shughuli ukifanya kihalali bila njia nyeuse kuna uhakika wa kufika walau dola 1,000 ili kuifanya blogging iwe side hustle au hata ajira rasmi ?
Bloggers wa mikato hawa wala haishangazi kuchapa hata dola 2,000+ kila mwezi japo huwa ni wasiri mno, mtu wa kawaida huwezi kujua hata kazi anayofanya, we utaona tu jamaa yupo ndani lakini ana usafiri, apartment ya laki 4, mtoto anasoma shule private, mke anapiga shopping za maana, n.k.
Binafsi napenda zaidi blogging safi ambazo hata siwezi kujitambulisha kwamba mimi ni blogger na naweza kumuelekeza mtu kila nachofanya bila hofu,
Tatizo linakuja kwamba hizi blogging safi unakuta mtu anaambulia dola 300, ila pengine labda utafiti wangu haukugusia maeneo ambayo siyajui ningependa tujadiliane.
Je, Tukiachana na bloggers maarufu kina millard Tza, hizi shughuli ukifanya kihalali bila njia nyeuse kuna uhakika wa kufika walau dola 1,000 ili kuifanya blogging iwe side hustle au hata ajira rasmi ?
Bloggers wa hapa bongo wanaopiga pesa wanafanya kazi kwa siri maana process ya kupata hio hela ni chafu.
1. Wanadukua account za fb, hapa huwa wanatengeneza website inayofanana na facebook sehemu ya kuingiza username na password, ukiingiza zinaenda kwao, wanatumia account yako. huwa wanatega hizi wensite feki kwenye magroup ya fb wanaposti picha kitu cha kuhamasisha mtu afatilie zaidi, wanadanganya ukitaka kuona zaidi minya sehem flani, ukiminya inatokea hio website feki, ukiingiza password zinanaswa.
2. account hii inaanza kutumiwa kushare picha kama hizi kwenye magroup
Wanaongeza kitufe cha kucheza "play button"
Hapo wanaanza kushare picha hii wanaambatanisha na link za blogs zao kwamba ukitaka ucheze hio video inabidi uingie blog yake utazame
Ukiingia hio blog hakuna chochote humo, umeshamuingizia shilingi 20, kwa kila watu elfu moja anapata elfu 20 kwa hapa bongo, kwa kenya elf 30, afrika kusini ndio wanakupenda zaidi maana kule watu elf 1 inaenda elf 50 hadi 80,
watu wamejifungia ndani humo kwenye apartment mtu anatandika laki 3 sio masikhara.
1. Wanadukua account za fb, hapa huwa wanatengeneza website inayofanana na facebook sehemu ya kuingiza username na password, ukiingiza zinaenda kwao, wanatumia account yako. huwa wanatega hizi wensite feki kwenye magroup ya fb wanaposti picha kitu cha kuhamasisha mtu afatilie zaidi, wanadanganya ukitaka kuona zaidi minya sehem flani, ukiminya inatokea hio website feki, ukiingiza password zinanaswa.
2. account hii inaanza kutumiwa kushare picha kama hizi kwenye magroup
Wanaongeza kitufe cha kucheza "play button"
Hapo wanaanza kushare picha hii wanaambatanisha na link za blogs zao kwamba ukitaka ucheze hio video inabidi uingie blog yake utazame
Ukiingia hio blog hakuna chochote humo, umeshamuingizia shilingi 20, kwa kila watu elfu moja anapata elfu 20 kwa hapa bongo, kwa kenya elf 30, afrika kusini ndio wanakupenda zaidi maana kule watu elf 1 inaenda elf 50 hadi 80,
watu wamejifungia ndani humo kwenye apartment mtu anatandika laki 3 sio masikhara.