Buy the bluetooth Bracelet now at sabasaba. For only 65,000tshs. Saba Saba Offer. We are located behind Alhasan Mwinyi Hall. Call 0764 468420 for directions when you are there. After sabasaba...
Nina matatizo mawili. Kwanza; Kwa zaidi ya mwezi sasa compyuta yangu aina ya dell ambayo nimeitumia kwa zaidi ya miaka miwili, imekuwa too slow na tena hata kufungua internate ni shida kweli. Sina...
Compyuta yangu DELL DIMENSION 9150 Inatumia OS WINDOW XP POSSESSIONAL Imeniletea letea tatizo lifuatalo. UNAPOFUNGUA KITU CHOCHOTE NA UKITAKA KURUDI NYUMA ILE ICON YA BACK NA FORWARD IMEPOTEA NA...
Bandungu naomba msaada wa haraka. Kuna HDD yangu ya gb 500 imebakia na free space ya gb 9.4 tu wakati wala haina vitu vyenye size kubwa, na wala sijabackup windows. Nimetumia revo uninstaller...
Wakuu naomba msaada ktk hili nimejaribu kutumia apps tofauti kutoka google play tatizo nashindwa kuitumia app husika kuweza kudownload nyimbo au muvi.msaada kwa anayue fahamu plz
Jamaa IDM yangu inaleta shida, inaleta option ya kudownload fresh kabisa ila video inayokuwa downloaded ni tofauti kabisa kuna video inayotokea ni jamaa flan hivi video inavyoanza anakuwa anajamba...
Nina matatizo mawili. Kwanza; Kwa zaidi ya mwezi sasa compyuta yangu aina ya dell (ambayo nimeitumia kwa zaidi ya miaka miwili) imekuwa too slow na tena hata kufungua internate ni shida kweli...
Habari zenu wanajamvi?
Kwa kweli mimi ninapumua,Samahani saana nimesikia kuna uwezekano wa kutengeneza wireless kwa kutumia modem bila routers!plz how can this be done?
natanguliza shukrani za...
Wasalaaam wakuu wa kazi.
ISP gani mzuri na internet yake ipo efficient, awe na router kwasabau ofisi ina computer zaidi ya kumi na zote zinaitajika kupokea mawimbi ya internet. Ofisi ipo maeneo ya...
Habari zenu wadau. Nina tatizo na laptop yangu aina ya compaq presario F700 refurbished to F750US yenye windows 7, 32-bit os, 2.4gb ram, amd athlon (tm) 64 x2 dual-core processsor tk-57 1.90ghz...
Niliwasha Laptop yangu, ikawaka vizuri. Baada ya kuiacha kwa muda wa kama dak 5, ika-Sleep.
Nilipotaka kuitumia sasa ndo nikashangaa kuona hai-display kitu kwenye screen. Nikajaribu kuizima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.