Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,240
evleak ni maarufu duniani hasa siku za karibuni kwa kuleak vitu ambavyo hutokea kweli, ni mara chache sana kwa hawa jamaa kukosea na muda si mrefu wameleak simu ya samsung ambayo ina kioo kilichojikunja kwa kubonyea kwa ndani
wana jf mpo tayari kukaribisha simu zenye vioo mbonyeo na mbinuko?
je unafkiri itaongeza nini kwenye experience ya mteja?
update simu imekua official
1.kioo ni inch 5.7 full hd super flexible amoled
2. proxessor snapdragon 800 ambayp ipo clocked katika 2.3 ghz krait quadcore
3. ram 3gb, internal 32gb na ina memory card
4. camera ya nyuma 13mp na mbele 2mp
5. bei dola 1000 kama milion na laki 6 inaanza kupatikana korea tu
6. battery ni 2800 mah
wana jf mpo tayari kukaribisha simu zenye vioo mbonyeo na mbinuko?
je unafkiri itaongeza nini kwenye experience ya mteja?
update simu imekua official
1.kioo ni inch 5.7 full hd super flexible amoled
2. proxessor snapdragon 800 ambayp ipo clocked katika 2.3 ghz krait quadcore
3. ram 3gb, internal 32gb na ina memory card
4. camera ya nyuma 13mp na mbele 2mp
5. bei dola 1000 kama milion na laki 6 inaanza kupatikana korea tu
6. battery ni 2800 mah