Imagine ubora wa Azam Tv lakini wanaangushwa na App yao.
Watu wana studio kali, OB Van kali, Camera za kisasa.
Mnashindwaje kutengeneza App yenu iwe imara muda wote?
Mtu uko mbali na nyumbani...
Spec Ndogo Inayoamua Kama Upgrade Yako Itafanikiwa au Itakwama
Kwa miaka ya karibuni, SSD zimekuwa chaguo la kawaida kwa watumiaji wa laptop na desktop wanaotaka kuongeza kasi ya mifumo yao. Watu...
Kama last year hivi mwanzoni niliingia ulimwengu wa mobile app baada ya kuwa kwenye web kwa kipindi kirefu. Sikuwahi kufanya Vibe coding hapo nyuma(programming kwa kutumia AI) kutokana na hizi...
Ni app gani uliwahi kuwish iundwe hapa Bongo lakini bado haipo au haijafika kiwango cha kimataifa?
Au kuna changamoto gani uliwahi kukutana nayo ukaona kabisa, "Duh, hapa app ingesaidia!"
Huu...
Habari zenu wana jamiiforums, nilinunua simu ya mkopo kama mwezi mmoja umepita kwa sababu sikuwa na pesa za kutosha kuniwezesha kununua simu mpya. Ila sasa nimejipata, nataka niache kuilipia hiyo...
Leo nimekuletea apps 5 Bora za kutumia Kwa Mwezi huu Desemba mwaka 2025, ambapo zitakusaidia kwenye shughuli mbalimbali kupitia simu yako.
1️⃣Oss scan documents
Achana na zile scanner qmbazo...
Wakuu mimi ni mdau mkubwa wa soka la nje sasa Ligi zimerejea rasmi.
Na kama mjuavyo kwa watu wa kawaida kama sisi kununua kifurushi cha 180k kupitia Dstv ili kuangalia mpira kwetu ni gharama...
Fighters, wanajua kusaka fursa tu je Imani ya digital entrepreneur hasa kwa wale wanaotegemea content creation je still fursa imelala huku maana nahisi kumefifia mno.
Baada ya research ya muda mfupi iliyosababishwa na kuongezeka kwa bei za Access Point nimekuja na suluhu ya bei rahisi, salama na yenye uwezo sawa na ule wa special Access points devices.
Kuna...
Wakuuu asalam asifiweee
Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara
Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa...
JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱*
Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa kutumia kompyuta...
Hii hapa ni jinsi ya kuweka window kwa
kutumia flash.
1. Tafuta software inaitwa power iso.
2. Install hiyo power iso.
3. Uwe na flash kuanzia gb 4 kama
unawepa windows 7. 4.
Tengeneza image...
nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata...