Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari. Natumia Infinix smart 6 Nikita kukata simu kwenye display inaonesha rangi nyeusi mpaka akate MTU niliye mpigia. Nawezaje kuondoa hii??
8 Reactions
59 Replies
734 Views
Imagine ubora wa Azam Tv lakini wanaangushwa na App yao. Watu wana studio kali, OB Van kali, Camera za kisasa. Mnashindwaje kutengeneza App yenu iwe imara muda wote? Mtu uko mbali na nyumbani...
13 Reactions
25 Replies
708 Views
habari ndugu mbona huu mtandao wa x twitter kwangu haufunguki na ninatumia vpn kama proton na 1.1.1.1 wrap lakini wapi,msaada tafadhari
1 Reactions
3 Replies
220 Views
Spec Ndogo Inayoamua Kama Upgrade Yako Itafanikiwa au Itakwama Kwa miaka ya karibuni, SSD zimekuwa chaguo la kawaida kwa watumiaji wa laptop na desktop wanaotaka kuongeza kasi ya mifumo yao. Watu...
1 Reactions
1 Replies
140 Views
Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh *Sifa zake Video converter video downloader Picture converter Audio converter Document manipulation Mawasiliano: 0756704145 Eneo...
1 Reactions
2 Replies
485 Views
  • Redirect
habari ndugu mbona huu mtandao wa x twitter kwangu haufunguki na ninatumia vpn kama proton na 1.1.1.1 wrap lakini wapi,msaada tafadhari
0 Reactions
Replies
Views
Kama last year hivi mwanzoni niliingia ulimwengu wa mobile app baada ya kuwa kwenye web kwa kipindi kirefu. Sikuwahi kufanya Vibe coding hapo nyuma(programming kwa kutumia AI) kutokana na hizi...
1 Reactions
2 Replies
173 Views
Heshima kwenu, natamani kupima shamba langu kwa kutumia app, maana nimeshindwa kuligawa ili nipime kwa futi kamba, anae ijua anijuze
0 Reactions
4 Replies
457 Views
Ni app gani uliwahi kuwish iundwe hapa Bongo lakini bado haipo au haijafika kiwango cha kimataifa? Au kuna changamoto gani uliwahi kukutana nayo ukaona kabisa, "Duh, hapa app ingesaidia!" Huu...
6 Reactions
69 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamiiforums, nilinunua simu ya mkopo kama mwezi mmoja umepita kwa sababu sikuwa na pesa za kutosha kuniwezesha kununua simu mpya. Ila sasa nimejipata, nataka niache kuilipia hiyo...
9 Reactions
79 Replies
5K Views
Leo nimekuletea apps 5 Bora za kutumia Kwa Mwezi huu Desemba mwaka 2025, ambapo zitakusaidia kwenye shughuli mbalimbali kupitia simu yako. 1️⃣Oss scan documents Achana na zile scanner qmbazo...
17 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu mimi ni mdau mkubwa wa soka la nje sasa Ligi zimerejea rasmi. Na kama mjuavyo kwa watu wa kawaida kama sisi kununua kifurushi cha 180k kupitia Dstv ili kuangalia mpira kwetu ni gharama...
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Fighters, wanajua kusaka fursa tu je Imani ya digital entrepreneur hasa kwa wale wanaotegemea content creation je still fursa imelala huku maana nahisi kumefifia mno.
1 Reactions
8 Replies
353 Views
Baada ya research ya muda mfupi iliyosababishwa na kuongezeka kwa bei za Access Point nimekuja na suluhu ya bei rahisi, salama na yenye uwezo sawa na ule wa special Access points devices. Kuna...
11 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuuu asalam asifiweee Moja kwa moja to the point, nimekuwa natumia windows 10 pro, imekuwa ikinidai kuactivate windows mara kwa mara Mara ya kwanza nilitoa hela kusaidiwa kuactivate sasa...
6 Reactions
60 Replies
868 Views
JINSI YA KUFUNGUA SIMU ULIYOSAHAU PASSWORD KWA KUTUMIA KOMPYUTA 💻📱* Kama umesahau password yako (Pattern, PIN, Fingerprint) usikimbilie Kariakoo unaweza kuweka sawa mwenyewe kwa kutumia kompyuta...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii hapa ni jinsi ya kuweka window kwa kutumia flash. 1. Tafuta software inaitwa power iso. 2. Install hiyo power iso. 3. Uwe na flash kuanzia gb 4 kama unawepa windows 7. 4. Tengeneza image...
1 Reactions
28 Replies
19K Views
Ni kikompyuta cha zamani dell xps 10.Mwenye kujua wapi naweza kupata battery yake anijuze.Natanguliza shukrani
2 Reactions
2 Replies
97 Views
nahitaji vifaa vya huwei used hata kama ni vipya itakuwa sawa tu...vifaa ninavyovi hitaji ni mfuniko wa batri uwe na muonekano kidogo mzuri kama ni used,camera ya mbele na nyuma...au hata...
0 Reactions
1 Replies
152 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…