Wakuu kutokana na kua na simu zisizokuwa bora kwa upande wa kamera. Sasa nimepata wazo la kununua kamera ndogo ya nje. Na katika pitapita zangu nimekutana na moja wapo hio apo chini. Je wakuu...
𝐊𝐚𝐦𝐩𝐮𝐧𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐢𝐜𝐡𝐢𝐧𝐚 𝐙𝐢𝐧𝐰𝐚 𝐓𝐞𝐜𝐡𝐧𝐨𝐥𝐨𝐠𝐢𝐞𝐬 𝐢𝐦𝐞𝐚𝐧𝐳𝐚 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐝𝐚𝐥𝐢𝐳𝐢 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐫𝐮𝐝𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐬𝐨𝐤𝐨𝐧𝐢 𝐬𝐢𝐦𝐮 𝐲𝐚 𝐛𝐥𝐚𝐜𝐤 𝐛𝐞𝐫𝐫𝐲 𝐜𝐥𝐚𝐬𝐬𝐢𝐜 kwa jina jingine inaitwa Q20 ikiwa na mabadiliko kadhaa kwa ndani yenye kuvutia...
Katika maisha yangu simu ya kwanza kununua ni Siemens kidole mwaka 2007 mkononi. Sikuwa na matumizi sana wala maana yeyote kwangu.
Miaka kabla ya android kuwa maarufu na kuenea TZ ulikuwa...
Je Imewai kukutokea ?
“Simu yako imeibwa. Dakika tano baadaye, benki yako imetuma ujumbe: 'Shukrani kwa kufanya malipo ya milioni 2 kwa Bitcoin wallet isiyojulikana.' Ulifikiri hauwezi kulizwa...
Infinix NOTE 30 na Samsung A24 ni miongoni mwa simu janja ambazo zimeachiliwa Mwaka huu na kuuzika katika mataifa mbalimbali. Simu hizi zinatofautiana bei na baadhi ya sifa hivyo basi leo...
Sijawahi kuwa na uhuru wa kutumia internet kama sasa baada ya kununua unlimited internet, Sina hofu ya kumaliza MB, sina haja ya kupunguza ubora wa video, siogopi video calls, sizikwepi post zeny...
Habari wakuu nina sony 10iii ilianza kuonyesha arama kam kotone ka wino kwenye kioo kadri nilivozidi kutumia na yenyewe ikawa inazidi kujaa wino kwenye kioo saa hizi hata siwezi kutumia tena na...
Hizi kampuni tatu simu zao nyingi ni mafamba! Hivi majuzi nilikua Dubai kwa mambo fulani hivi kwenye pita pita nikakutana na hizi simu nikanunua kampuni mojawapo
Nyingi zinawekwa Specification za...
Japanese company Science Inc. has officially released the “Mirai Human Washing Machine,” a high-tech spa pod first shown at the Osaka World Expo earlier this year.
The pod works like a fully...
Tofauti Kati ya Laptop Refurbished na Laptop Feki (2025)
Imeandikwa na
MALEKOGJ
Mawasiliano kwa maelezo zaidi au ununuzi salama: +255 675031229
Katika soko la sasa la teknolojia nchini...
Hakuna Tena kujificha kama unatumia mtandao wa X jua utaweza kutambuliwa😎.
Mtandao wa X (Twitter) imeanza kufanya majaribio ya kuweka kipengele kipya kinaitwa "About this Account" ikiwa na...
Habarini Wadau Kati ya TV hizi ipi ni Bora Kwa matumizi na haitaleta changamoto mbeleni huko.
1.Hometech (32 inches)
2.TCL (32 inches)
3.Alitop( 32 inches)
4.Aborder(32 inches)
Budget...
𝗢𝗻𝗲𝗣𝗹𝘂𝘀 𝟭𝟯 𝗸𝗶𝗯𝗼𝗸𝗼 𝘆𝗮 𝗶𝗽𝗵𝗼𝗻𝗲 𝗻𝗮 𝗦𝗮𝗺𝘀𝘂𝗻𝗴 😮
Linapokuja issue ya simu Bora za flagship basi wengi wetu huwa kwenye akili zetu huwa tunataja Samsung, iphone na Google vipi kuhusu Oneplus wengi...
Wakuu kwema? Wale wenye Droid VPN hakuna hata dakika 1 mtandao ulisumbua, napenda kufahamu orodha ya VPN nyingine zilizoweza kuhimili kadhia ile ya vilaza, najua kuna uwezekano wa internet...
Nimejaribu kutumia Google earth ila sipata "Current location" yaani uhalisia wa hivi karibuni.
Ninaweza kusearch eneo ila nakuta uhalisia wa miaka miwili nyuma na kuendelea wakati kwa sasa eneo...
Hili ni kumbusho kuwa karibia hifadhi zote za data zinaoza baada ya muda fulani, kitu ambacho ni muhimu kuzingatia.
HDD (Hard Disk Drive)
Zile mechanical ambayo haitumiki zinaoza baada ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.