Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Watu wa iPhone hujivunia simu zao kwa kuiponda Samsung. Ukweli ni kiwa Samsung ndio huwatengenezea Apple Screen zote za Iphone. Na sasa kwa iPhone 16 Apple watatumia Camera kutoka samsung ili...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za wakati huu, naomba kufahamishwa kuhusiana na submeter ambazo zinaonesha ni kiwango gani mpangaji anatumia umeme, Je zinafanyaje kazi?, je zipi ndio nzuri na ni brand gani ndio imara...
2 Reactions
66 Replies
13K Views
1. Security, iohone Ina security kubwa mno kiasi mtu akiiba itamchukua mda na gharama kuondoa security kwenye iphone. Tofauti na simu za android ambapo Kuna applications kibao kwa ajili ya kutoa...
13 Reactions
103 Replies
10K Views
Mota ya mashine ya alizeti inasumbua sasa nataka kuibadilisha nichukue ya mashine ambayo motor yake ina speed na mashine ya alizeti haiitaji speed.Nimeambiwa ninaweza kuitumia hiyo mota ya hiyo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Salamu. Simu zote ni nzuri ila najua kuna mahala zinazidiana ubora na gharama.Kwa ujuzi wako kati ya hizo kampuni nani bora sana?
0 Reactions
1 Replies
422 Views
Nchi ya China imeendelea kuwekeza katika huduma za afya, hospitali kubwa zaidi ya Artificial intelligence ambayo inaweza kuhudumia wagonjwa 3000 Kwa siku, ambayo kwa kawaida Madaktari wanaweza...
0 Reactions
4 Replies
436 Views
Naitajia maelezo nielewe umihimu wa ku update Android software na Hasara usipo update android
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Error. The account verification SMS could not be sent. Please try again later. Naomba msaada kwenye hili wana JF. Kila nikijaribu kufanya verification ya account yangu ya Instagram ili nipate...
0 Reactions
0 Replies
528 Views
Habar za asubuh wana jf...! Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, ndugu yenu natumia simu ya samsung A04 Hivi juzi nili restore sababu simu ilikuwa nzito sana hivyo nikaamua kufuta vitu vyote...
0 Reactions
2 Replies
421 Views
Habar za sahizi hivi CCTV camera hizi za cable kwa hapa bongo ni TSH ngapi maana camera yangu moja imealibika. Nataka camera moja ambayo nitaireplace kwenye mfumo!
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna hizi windows za kudownload kutoka mitandaoni hususan kwenye torrents huwa zimekuwa cracked, pre activated na nyingine zipo modded Ndizo windows ambazo wengi hutumia hapa bongo sababu kuu ni...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Guyz vp…?? Nashida kidogo.. inshort ndo naanza kujifunga Adobe character animate ila kunakitu kinanishangaza kwamba siioni sehemu ya motion library
0 Reactions
3 Replies
453 Views
Kuna mteja alikuja kibandani kwangu akihitaji kutoa hela yake iliyokuwa imetumwa kwa njia ya sms kwenye simcard yake ya Vodacom, mimi kama wakala wa M-Pesa nikawa nimepata ugumu namna ya kumtolea...
3 Reactions
18 Replies
11K Views
Habari wanajamvi. Ni mimi tena. Leo tutaongelea mambo manne makuu ambayo yatatokea katika ukuaji na utumiaji wa AI (Akili bunifu/bandia/mnemba) nchini Tanzania. Kama unajiuliza kuwa akili mnemba...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Nini maana ya AI? Ni akili ya mashine au program kinyume na akili ya binadamu au wanyama. Kukua kwa sayansi na technology kimewezesha uvumbuzi wa vitu vingi sana. Fikiria mtu anavyo zaliwa maana...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Elon Musk anasema akili ya bandia itachukua kazi zetu zote na hilo sio jambo baya. "Labda hakuna hata mmoja wetu atakayekuwa na kazi," Musk alisema kuhusu AI kwenye mkutano wa teknolojia mnamo...
4 Reactions
3 Replies
854 Views
Heloo hii project ni very simple na niliiunda kipindi najifunza PHP, ni system ambayo itatake user notes na kusave kwenye database, na kuzishow kwa user ina admin panel pia ina user information...
4 Reactions
7 Replies
809 Views
- 🏆 ChatGPT - IOS ➜ - Android ➜ - ⚡ Socratic AI - IOS ➜ - 💼 Perplexity AI - IOS ➜ - Android ➜ - 🌐 Fireflier.ai - IOS ➜ - Android ➜ - 🖼️ Canva - IOS ➜ - Android ➜ - 💡...
2 Reactions
5 Replies
703 Views
Utazamaji wa filamu wa sasa sio kama ule wa zamani ambapo unasimuliwa matukio kwa kutumia picha zinazosonga (movie) na sauti kwenye mifumo ya stereo ukiwa umeketi sebuleni au kwenye ukumbi wa...
12 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wataalam km mlivyosoma heading maisha magumu tumejiajili online naomba msaada account ya fb iwe na followers tu iache friend requests maana nimebadilisha kuwa followers lakini maombi...
1 Reactions
5 Replies
504 Views
Back
Top Bottom