Katika programu nzuri na tamu katika ukokotoaji, uchambuzi, uwasilishaji wa data zilizopo katika namba na kupanga mambo mbalimbali ya kihesabu tunajua Excel Ina fanya yote hayo, Excel imekua...
Jamani habari za leo,
Naombeni msaada. Akaunti yangu ya Facebook imekuwa hacked na vijana wa kenya. Nahitaji kuirudisha ila nashindwa kwani wamekwisha reset password!
Natanguliza shukurani!
Jamii yetu ina changamoto nyingi sana ambazo tunaweza kuzifanyia kazi na kuzipatia ufumbuzi kwa kutumia technology. Tumeshatoka kwenye zama za kutumia nyundo (figuratively) katika kila kitu...
Wadau naomba msaada jinsi ya kupunguza picha bila kuathiri ubora wake. mfano picha ina ur 175 na upana 125 ikiwa ina ukubwa wa mb 2(megabyte) au kb 200. uipunguze iwe na kb 4? tunafanyeje wadau?
Habari wakuu njoeni tufanye kazi
Mimi ni Developer nipo na team yangu tunatengeneza software zote isipokuwa Os tu
Ila tunapunguzo la bei kwa wanaoitaji website ya wordpress au domain na themes...
Bart Sibrel ni mmoja ya wapingaji wakubwa wa kuwahi kutokea safari ya binadamu mwezini.Amewahi kutengeneza filamu nyingi za kupinga tukio hilo lililotajwa kufanikiwa mwaka 1969.
Siku moja mwaka...
Nimefunga ip camera 17 .Zipo kwenye NVR ya channel 32 ambayo ina direct port 16 poe make ni plug and play.
Changamoto inakuja kwa zile ambazo zipo kwenye external switch zikenigomea zinaonekana...
In a significant cybersecurity incident, 9.4 GB of data from Twitter (now known as X) has been leaked online, revealing over 200 million records. This breach has raised serious concerns about data...
MREJESHO: Kwa wale wazoefu wa smart tv, naomba ushauri juu ya hii tv.. Bei ni kama 800k.
BRAND SkyWorthMODEL43S3A31T
color black
SCREEN SIZE43 Inch
SCREEN type smart LEDHD
technology full HD...
Tumezoea kuona simu janja zenye mikunjo miwili, Huawei mwaka huu wanakuja na Smartphone ambayo itakuwa na mikunjo mitatu.
Mojawapo ya kipengele muhimu cha kifaa cha kukunjwa mara tatu ni kwamba...
Habari wakuu! Jamani Kuna ndugu yangu akaunti yake ya Facebook imehakiwa (imedukuliwa) siku kadhaa zilizopita.
Picha lilianzia pale alipotumiwa link kupitia messenger na rafiki yake ambayo...
Video Summary:
The author(in Video) is discussing why many authors are afraid of Artificial Intelligence (AI) and its potential impact on their work. The main reasons for this fear are:
1...
Huawei amezindua series za Pura 70 nchini China ikifungua ukurasa mwingine wa maendeleo pamoja na vikwazo vya Marekani.
Ripoti zinasema simu hiyo imetumia zaidi vifaa vinavyotengezwa China kuliko...
Habari za weekend wakuu, tafadhalini naombeni mnijuze tofauti za kiuwezo kati ya phone cameras na kamera za kawaida na je ni kweli baadhi ya simu zinazidi uwezo kamera za kawaida?
Nawasilisha...
Simu za Oppo, Vivo, Aquos zikoje na ubora? Wana matoleo mengi balaa
Oppo zimefurika sana Tanzania hizi simu yaani wana matoleo mengi balaa hata bei zake sio ghali sana
Wakuu kuna simu nimeona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.