Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Katika programu nzuri na tamu katika ukokotoaji, uchambuzi, uwasilishaji wa data zilizopo katika namba na kupanga mambo mbalimbali ya kihesabu tunajua Excel Ina fanya yote hayo, Excel imekua...
5 Reactions
144 Replies
11K Views
Napendelea hasa yenye Bluetooth, radio, na ports za kuchomeka flash etc
3 Reactions
44 Replies
45K Views
wazee kwema? tupeane maujanja tupunguze ukali wa maisha ya mtandaoni.
0 Reactions
27 Replies
17K Views
Jamani habari za leo, Naombeni msaada. Akaunti yangu ya Facebook imekuwa hacked na vijana wa kenya. Nahitaji kuirudisha ila nashindwa kwani wamekwisha reset password! Natanguliza shukurani!
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Jamii yetu ina changamoto nyingi sana ambazo tunaweza kuzifanyia kazi na kuzipatia ufumbuzi kwa kutumia technology. Tumeshatoka kwenye zama za kutumia nyundo (figuratively) katika kila kitu...
2 Reactions
4 Replies
514 Views
Wadau naomba msaada jinsi ya kupunguza picha bila kuathiri ubora wake. mfano picha ina ur 175 na upana 125 ikiwa ina ukubwa wa mb 2(megabyte) au kb 200. uipunguze iwe na kb 4? tunafanyeje wadau?
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Samahani nahitaji mtu anayeweza nisaidia katika hili tuingie deal anisadie kutafuta Location ya mahali ilipo simu yangu.
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari wakuu njoeni tufanye kazi Mimi ni Developer nipo na team yangu tunatengeneza software zote isipokuwa Os tu Ila tunapunguzo la bei kwa wanaoitaji website ya wordpress au domain na themes...
0 Reactions
3 Replies
612 Views
Wakuu icloud yangu imejaa nashindwa namna ya kuiupgrade mwenye utalamu naomba maelekezo tafadhali
0 Reactions
4 Replies
519 Views
Bart Sibrel ni mmoja ya wapingaji wakubwa wa kuwahi kutokea safari ya binadamu mwezini.Amewahi kutengeneza filamu nyingi za kupinga tukio hilo lililotajwa kufanikiwa mwaka 1969. Siku moja mwaka...
0 Reactions
10 Replies
838 Views
Nimefunga ip camera 17 .Zipo kwenye NVR ya channel 32 ambayo ina direct port 16 poe make ni plug and play. Changamoto inakuja kwa zile ambazo zipo kwenye external switch zikenigomea zinaonekana...
1 Reactions
5 Replies
615 Views
In a significant cybersecurity incident, 9.4 GB of data from Twitter (now known as X) has been leaked online, revealing over 200 million records. This breach has raised serious concerns about data...
0 Reactions
0 Replies
562 Views
MREJESHO: Kwa wale wazoefu wa smart tv, naomba ushauri juu ya hii tv.. Bei ni kama 800k. BRAND SkyWorthMODEL43S3A31T color black SCREEN SIZE43 Inch SCREEN type smart LEDHD technology full HD...
2 Reactions
36 Replies
9K Views
Tumezoea kuona simu janja zenye mikunjo miwili, Huawei mwaka huu wanakuja na Smartphone ambayo itakuwa na mikunjo mitatu. Mojawapo ya kipengele muhimu cha kifaa cha kukunjwa mara tatu ni kwamba...
2 Reactions
4 Replies
892 Views
Wakuu naomba file la Google Chrome la PC yenye windows 7 Nimejaribu kutafuta hadi nimechoka.
0 Reactions
5 Replies
445 Views
Habari wakuu! Jamani Kuna ndugu yangu akaunti yake ya Facebook imehakiwa (imedukuliwa) siku kadhaa zilizopita. Picha lilianzia pale alipotumiwa link kupitia messenger na rafiki yake ambayo...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Video Summary: The author(in Video) is discussing why many authors are afraid of Artificial Intelligence (AI) and its potential impact on their work. The main reasons for this fear are: 1...
2 Reactions
0 Replies
422 Views
Huawei amezindua series za Pura 70 nchini China ikifungua ukurasa mwingine wa maendeleo pamoja na vikwazo vya Marekani. Ripoti zinasema simu hiyo imetumia zaidi vifaa vinavyotengezwa China kuliko...
5 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari za weekend wakuu, tafadhalini naombeni mnijuze tofauti za kiuwezo kati ya phone cameras na kamera za kawaida na je ni kweli baadhi ya simu zinazidi uwezo kamera za kawaida? Nawasilisha...
2 Reactions
1 Replies
582 Views
Simu za Oppo, Vivo, Aquos zikoje na ubora? Wana matoleo mengi balaa Oppo zimefurika sana Tanzania hizi simu yaani wana matoleo mengi balaa hata bei zake sio ghali sana Wakuu kuna simu nimeona...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom