Bandugu hebu tuelimishane kuhusu umuhimu wa ku-update software kwenye simu za samsung

Naitajia maelezo nielewe umihimu wa ku update Android software na Hasara usipo update android
Faida ni kupata features mpya kama zitakuepo...

Pia kufix matatizo yaliyopo kweny current OS.. kama ulaji wa battery,matatizo kweny camera na mengine...

Kupata access ya baadhi ya apps...kuna baadh ya apps huwez install kweny os za chini lazma uwe na latest OS

Lakini pia unakua latest.

HASARA

Usipo update ni kukosa faida za hapo juu
 
kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.

hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.

updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.

umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.

hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,

kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
 
kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.

hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.

updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.

umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.

hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,

kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
 
Hakuna shida usipo update.
Uki update zipo faida nyingi mfano kupata latest features ambazo zimeboreshwa zaidi.
 
kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.

hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.

updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.

umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.

hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,

kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
Nashukuru kwa ushauri ndug yangu
 
kuna updates za aina mbili kwenye simu
-security updates
-updates za matoleo toka version moja kwenda nyengine.

hizi security updates ni muhimu sana zinatoka kila mwezi, zenyewe hazibadili muonekano au feature za os, kazi yake ni kukupa ulinzi kwenye simu na kukulinda na malware na threats mpya.

updates za matoleo, mfano kutoka android 8 kwenda 8.1. hizi hukuongezea features kwenye simu na kubadili muonekano. kama alivyoelezea mdau hapo juu.

umuhimu wa ku update ni kuwa na simu salama ambayo ni ngumu kushambuliwa, yenye mambo ya kisasa na mapya. kila toleo kunakuwa na kitu kinaitwa change log, hukuonesha ni mambo mangapi mapya yameongezwa.

hasara ya ku update ni kama alivyosema mdau mwengine hapo juu inaweza haribu mambo fulani, mfano unaweza update simu isikae na chaji kama zamani,

kama simu yako ni halali kabisa umeinunua na ina warranty usiogope update simu yako mara kwa mara, likitokea tatizo samsung wenyewe watawajibika kulitengeneza.
Natumia Samsung note 4 Model N910H ila kuna mda inaaandika No sim card restart the nikishafaya ivyo inakaa sawa ili tatizo chanzo chake ni nini?
 
Back
Top Bottom