Habarini wana jukwaa poleni na majukumu tafadhali naomba kujua bei ya kioo cha simu aina ya HTC desire 816 Kwa dar mimi nipo morogoro nimetafuta bila mafanikio asanteni sana.
Msaada wadau, mimi natumia window 7 altimate kwenye desktop na laptop lakini kuna virus hivyo kila nichomekapo flash na kutuma mafaili yote yanakuwa shortcut nisaidieni wanajamvi nimeweka...
iPad mini (Wi-Fi/VZ & Sprint/GPS - 1st Gen) 1.0 GHz* Apple A5
Intro. October 23, 2012* Disc. June 19, 2015**
Order MD540LL/A* Model A1455 (EMC 2609*)
Family iPad mini (Wi-Fi + Cellular MM) ID...
Wadau naomba mnisaidie....nikiwasha pc yangu napata ujumbe kwmba window is not genuine...na kila mara napokea notification hiyo....nisaidien wakuu ili kutatua tatizo hili.
Natanguliza shukran zangu
Wakuu nina tatzo na simu yangu huwa inadownload apps za apus kila nikifungua phone browser tatizo hili linapelekea simu yangu kuisha kifurush cha intanet mara kwa mara msaada wakuu tafadhari
Samsung player model HT-E6750w/xy imetoa msg ya protect mode baada ya kuwaka kisha ikazima. Nimechat na Samsung kwa kuwapa serial number naona ni story tu. Pls mwenye uelewa wa hii maneno
Kuna simu aina ya Huwawei 360 nimefanya reset, contacts zangu zilizokuwa kwenye simu
zimefutika.
Naweza vipi ku_restore namba zilizofutika?
Cc CHIEF MKWAWA Mwalimu rct
A concealed motor has been discovered during
the examination of a bike used by a Belgian
cyclist at the world cyclo-cross championships.
The bike was seized by cycling authorities after
Femke Van...
Habari zenu wana sayansi na teknolojia?
Nimefuatilia mwanzo mwisho threads nyingi humu zinazohusu FTA channels na visimbusi vya azam, DStv, zuku n.k
Lakini sijapata elimu ya mwanzo mwisho, hatua...
Simu yangu Sumsung galaxy note 3 SM-N9006 haina Google play store kwa ajili ya kudownload application! Naomba msaada wana jamvi jinsi ya kutatua hilo tatizo
Ninatumia acer laptop window 8. 1 inaload muda mlefu wakati nataka kupair other Bluetooth devices si hivyo tu haizionyeshi hizo devices kwenye display msaada jamani
I bought a one month internet bundle 2 GB for 15,000 Tshs not more than two weeks a go from Vodacom. On Sunday, 17th Jan, I received a message that I have consumed all 2 GBs! I am not tha heavy...
Hii ni blog ambayo nimededicate kuelezea mambo mbalimbali na ya tofauti kuhusiana na technologia kwa ujumla naomba support yenu ili niwezew kufanya mambo makubwa
TECHEDU TANZANIA: THE HISTORY OF...