Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

mtandao wa sim wa voda wanahuduma ya kuwa hata simu ikiwa offline,mtu akipiga inamwambia kuwa tutamjulisha kuwa ulimpigia;sasa naomba unaipataje hii huduma?msaada plz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kunasababu nyingi za kutaka kujua nani amekublock kwenye account yake :mad: ? Whatever the reason kujua ni hatua chache moja wapo ni kuclick FOLLOW button kama amekublock hata ubonyeze follow...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wataalamu wa computer naombeni naomba kujua tofauti ya software na version na kaz zake! Na je znabadilishika?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenye kujua bei ya simu tajwa hapo, anijuze..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji kisimbusi cha startimes cha zamani. Nataka nimpelekee bibi kijijini. BAJETI yangu ni elfu 20 (tzs). Niko mbezi mwisho - Dar 0715907360 au 0757049601
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Habari zenu... Nina simu aina ya Samsung S3 na nimesikia inawezekana kuiupdate Android version yake kwenda kweny lollipop Kwa sasa version yake ni Jelly Bean.... Naomba msaada jinsi ya kuiupdate...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
LIST OF WINDOWS KEYBOARD SHORTCUT ALT+- (ALT+hyphen) Displays the Multiple Document Interface (MDI) child window's System menu ALT+ENTER View properties for the selected item ALT+SPACEBAR...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wanajamii..naomba mwenye kioo au screen ya hp probook anisaidie tuwasiliane kwa no 0713478400 nipo dar..
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Nina Ipad 1 ios version ni 5.1.1 lakini nikitaka kuinstall whatsapp kutoka kwenye store yao wanasema niwe na ios version 8.4 sasa nikiangilia current version ni 5.1.1 je kuna uwezo wa kuupdate...
0 Reactions
8 Replies
864 Views
Habar wakuu, Mimi sina uzoefu kabisa na simu aina ya samsung na nmenunua galaxy s3 used, wasiwasi wangu ni kwamba nilipo watumia TCRA imei ya hii simu nimeambiwa kuwa simu yang ni 'samsung...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana jamii naomba msaada kuhusu hili. Nimesajili laini mpya ya halotel ya wanachuo na nikajiunga kifurushi cha mb 600 cha wiki ila tatizo ni moja tu kua licha ya kua nimefanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari zenu waungwana..naomba msaada kwa mwenye kuweza nisaidia screen ya aina ya laptop yangu..Ni HP PROBOOK 6570b. Nahitaji screen yake kwakua yakwangu imeharibika..naomba kama utaweza nisaidia...
0 Reactions
0 Replies
588 Views
Kipindi hichi cha EURO 2016 Facebook messenger wameiachia game ya soccer ambayo watu walikuwa wanaisubiria, kama unakumbuka ile ya basketball it was VERY FUN, lakini hii ya soccer it's MUCH FUN...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waheshimiwa nataka kununua simu aina ya sony naomba kujua tofauti ya sony T na sony Z na ipi bora kati ya aina hizo za simu
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimekinuuna yapayata mieezi sits iliyopita baggti nbaya nilikua nimesafiri sasa nimerudi kila nikiwasha kinaniambia no signal je nifanyeje, nimejaribu kuzungusha antenna bado Niki search Chanel...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nime-download fifa 15 katika PC yangu ya core i3 ila kila nikifungua inagoma sasa nashindwa kuelewa tatizo ni uwezo wa Pc au kuna mautundu mengine unayo takiwa kufanya kama yapo mnielekeze wakuu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natumain wte humu ni wazima Kama kuna m2 anaijua sage evolution vizur naomba msaada jinsi ya kufanya offline branching Coz nafanya bt kuna error napata
0 Reactions
0 Replies
684 Views
IWE NA SIFA HIZI: core i3 2.5 processor graphics card iwe ni NVIDIA au AMD kuanzia 512mb na kuendelea HDD iwe kuanzia 320 na kuendelea RAM kuanzia 4GB na kuendelea processor yake ianzie 3rd na...
0 Reactions
0 Replies
787 Views
ChatDealz is redefining the concept of local connectivity in TANZANIA.ChatDealz helps you to connect with your surrounding people/businesses in TANZANIA . Install ChatDealz @ YoApp: Hyperlocal...
0 Reactions
1 Replies
600 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…