Poleni majukumu wakuu?
Nina simu yangu aina ya galaxy s3 nikiiweka tu kwenye chaji lazima ijiwashe na haiwezi kuchaji ikiwa imezima, mwenye kujua jinsi ya kusolve hii case anisaidie.
Wanajamvi ninaomba msaada wa jinsi ya kupata spam messages zilizofutika katika email yangu.
Nilifanya application under NACTE na password pamoja na username Vilitumwa ktk email yangu Kama spam...
Mimi natumia modem ya tigo huawei e303 nimejalibu kui unlock iwe inatumia mitandao yote nimeshidwa.
Kwa anaejua naomba anisadie maana nimeteseka kweli.
Salam ndugu zangu.
Mimi ni mwanafunzi wa Computer science mwaka wa kwanza.
Nataka ku base kwenye mambo ya security, database, app development, web creation na upande wa server.
Mimi nataka...
Habarini....Itakumbukwa kuwa nilokuja hapa na Thread ambayo nilielezea jinsi yule jamaa alivyo niibia baada ya kunambia angeniuzia Mackbook pro kwa Laki 2.5! yule jamaa anae jifanya anatokea...
Hey guys mimi nahitaji kuwa mmojawapo wa hackers hatari zaidi duniani,je ni course zipi za kusomea ambazo ni za muhimu for someone to become a hacker ? Msaada tafadhali
Habari wakuu!
Naombeni mnipe maujanja ya nisipelekwe youtube app ninapokuwa ninastream kwa kutumia browser ya Opera Mini,shida yangu ipo hapo tu kwenye opera mini,browser nyingine kama default...
Habari za Leo greater thinkers.... Mimi Nina shida kidogo naomba kueleweshwa na wajuzi wa haya mambo ..kuna mitaa huwa nikikatiza simu yangu inaandika available wi,_fi network but huwa siielewi...
habari wakuu, hivi kuna utaratibu wowote ambao unatakiwa kuufuata au kupata kibali kwa ajili ya kuanzisha website ya kuweka habari za michezo za kitaifa na kimataifa mfano kuweka habari za ligi...
Nina file za excel zipo kwenye folder moja,nikijaribu kufungua zinaleta ujumbe huu kama inavyoonesha kwenye hii picha, naombeni msaada wenu maana nimejaribu kila namna ngoma imegoma.
Kama una taka ongeza nafasi kweny simu yako bila kufuta chochote fanya hivi
1. Angalia simu yako Ina gb ngap ambazo zime baki
2. Download file leny ukubwa zaid ya gb ambazo zimebak kwenye simu...
Habari zenu wanajamiiForums
Nilikuwa naulizia hivi tofauti kubwa ya MICROSOFT EXCEL na MICROSOFT ACCESS ipo wapi maana kama format ya data entry inaweza kutumika hata ukitumia Excel?. Nipo sahihi...
Wakuu, baada ya kuhama kutoka OS za Windows nimeamua kujikita kwenye OS za Linux.
Baada ya kupitia machapisho mbali mbali na kufuatilia tutorials mbali mbali za video niliona nijikite kwenye...
Habari ya uzima mkuu nimepata dell precision m6300
video card ni NVIDIA Quadro FX 1600M - 256
MB
Hapa vip mkuu kwa game kama gta 5 na fifa 16 pia warcraft