Habari yenu ndugu wana jamii wenzangu .
Nilikua napenda kujuzwa kuhusu ukomavu WA store yetu sasa bhas kwa kua ulikua Changa je Kuna apps zozote zinazoongezeka ambazo pengine. Zinafunction muhimu...
wakuu habari, nina laptop yangu ambayo imeanguka na kushindwa ku start, kwenye analysis fundi ananiambia hard disk ndio mbovu, sasa naomba msaada wa namna ya ku recover data kwenye hiyohard disk...
Hii Modem imenishinda kuichakachua kwa kutumia switchprojectModem ile alio Post gkiwango
Adress yake iko unique http://192.168.8.1/html/home.html tofauti na zile za Vodacom Hilink
Pia nikiweka...
Eti jaman naskia matangazo kwenye Radio kuhusu king'amuzi cha ZUKU wanadai eti ni kizuri halafu kina channel kama 70 hv,
kwa aliyek2mia naomba atueleze ubora wa hiki king'amuzi na jins gani...
Samsung wameshatoa mzigo wa sumsung galaxy s7 mzigo hatari na matata kabisa huku ukiwa na battery la 3000mah.
======
Kampuni ya Samsung imezitangaza rasmi simu za Galaxy S7 na S7 edge kwenye...
JAMANI NIMEWASHA COMPUTER YANGU YA DELL 610, NIKAKUTANA NA TATIZO HILI '' MANUFACTURING MODE: LEVEL '67'''''PRESS FN + X TO RETURN THE SYSTEM TO NORMAL MODE'. NIKI PRESS fn x haifanyi kazi...
Nawasalimu wote.
Samahani wanajamvi hivi TV za LG flat screen huwa zina mfumo wa kupata channel za free bila kutumia king'amuzi wala cable kama ilivyo Samsung TV
Kama huo mfumo upo. Unafanyaje...
Wadau na wapenzi wa full version software na magame ya ukweli kama PEs,GTA,HITMAN,GOD OF WAR na mengineyo mengi kamueni hapa
then mnipe matokeo
#Muhimu hakikisha umeinstall utorrent na IDM pia...
Wakuu leo nimepigiwa simu na Tigo wakidai wanatoa offer ya line za 4g kwa watumiaji wa internet, yani napewa hiyo line kwa namba yangu ile ile!
Sasa kabla sijaamua kuifata na kubadilisha line...
Hey,
I just downloaded WhatsApp Messenger on my Android.
It is a smartphone messenger which replaces SMS. This app even lets me send pictures, video and other multimedia!
WhatsApp Messenger is...
Pengine umewaalika rafiki zako nyumbani. Una party ndogo. Unachezesha miziki kwa laptop yako. Laptop yenyewe umeiweka kwenye meza ya pembeni karibu na chanzo cha umeme, au pengine karibu na...
Nimekumbana na tatizo hili kwenye pc yangu linaniletea tu message hii "settings.ini is being used by another process. Close other program" naomba msaada wenu wadau
Ninahitaji kujua watu wangapi wako interested kujifunza programming na ambao wanahisi wakielezwa kwa kiswahili is better kuliko kiingereza. Kama ndio tupia hapa ungependa kujua nini.
Nafikiria...
Wadau msaada wa ku activate card yangu ya visa kwenye website ya crdb,baada ya kuangaika sana kufuatilia waiactivate ili niweze ku purchase vitu online,hatimaye wamenitumia txt kuwa naweza shop...
Habari zenu!
Mara baada ya TCRA "kufungia" simu ambazo ni "feki" kuna simu ambazo ni ORIGINAL zimekuwa zikisumbua sana.
Simu hizi ukifuata maelekezo ya TCRA kutambua kama ni feki au la zinaleta...