Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Siku za kalibuni asilimia 90 ya simu zenye antivirus zimepatwa naatatizo mbalimbali ikiwemo kuzima kustack nk KWANN ANTIVIRUS NDIO IWE CHANZO CHA TATIZO IKIWA NDO KINGA? kila simu ya android...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii tatizo la tapatalk kutokuwepo kwenye App Store naona lina impact kwa wale walioUnistall hii app hawataoweza kuipata kwenye AppStore. Na endapo utaiDownload kutoka Kwenye website ya tapatalk...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu kuna simu hapa tecno L8 ina hii cable inaitwa OTG sasa swali langu naweza kutumia modem katika internet,yaan nizime data alafu nitumie modem
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ktk simu yako ivyo pale anapoblokiwa uwa simu inaandika unfortunately google playstore stoped ili neno utokea mara kwa mara ktk simu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu!! Naomba mwenye kujua application ya ku convert mp3 music iwe instrumental/beat tupu anisaidie, iwe inatumia windows 7/8/10
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni msaada Jinsi ambavyo naweza Kutumia whatsup kwenye laptop.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hiki ndicho nlichogundua
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, naomba mnisaidie majina ya magame makali yanayo patikana katika windows phone.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana Ninashida kujenga banda la uwani,, ni vyumba 3 kila chumba kikiwa na choo yaani self. Engineer kaniambia nimlipe mil 7 yaani kufikisha kwenye matoleo tu,,, then from there tuongee tena...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi nime maliza kidato cha nne mwaka 2008 kama mnakumbuka miaka hiyo kulikuwa matokeo yakitoka huwanaweka namba tu sio majina kama siku hizi kama sikosei sasa mimi bwana sikumbuki namba yangu ya...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Wakuu ni mtaàlamu wa adsense account kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0687 535650
0 Reactions
10 Replies
1K Views
naomba msaada Wa kuckrack easy video maker 5.26 au software yoyote ya kuedit video nzuri kwa beginner ilimradi isiwe trial version.. natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama nilivo jieleza hapo juu najua humu nyumbani kwetu kuna majibu ya takribama maswali yote ambayo watu ambayo yanahitaji majibu. Nimepakua (download) encyclopedia Britannica 2013 imenishinda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar zenu ndugu, naomba msaada wa kupata Chanel za bure katika king'amuzi cha continental Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
simu inateta hivyo muda wote, nifanyeje kutatua tatizo
1 Reactions
57 Replies
6K Views
Wakuu nimeachiwa iphone 4s na best yangu mmoja hivi aliyekuwa hapa nchini tulikutana some where at the end akanipa iphone sasa sikuwa na haraka ya kuitumia juzi naiwasha inaniambia niingize apple...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari zenu wanajukwaa? The latest version ya playstore ina leta error nikitaka kuifungua "Unfortunately playstore has stopped working" ni takribani mwezi sasa.Kwa version up to 7.3.2 ya June 2...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
wakuu msaada wenu mwenye ufahamu kuhusu hii crash massege.. nime restore lakin wapi.. device yangu ni tecno c5 android 5.1
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Leo natimiza mwaka sasa toka nimenunua king'amuzi changu cha star times, lakini toka nimenunua baada ya kukiwasha tu, nimekuwa natazama chanel zote zilizomo katika kinga'muzi hicho bila ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…