Unfortunately, the process com.android.phone has stopped

Unfortunately, the process com.android.phone has stopped

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,511
Reaction score
8,269
ImageUploadedByJamiiForums1470677382.386979.jpg

simu inateta hivyo muda wote, nifanyeje kutatua tatizo
 
kukusaidia kwanza taja simu yako ni ain gani.? Tatzo hlo mostly n kwenyesimu za mediatek na baadhi ya smu za huawei ambazo ni qualcom...
 
wataalam mwelezeni vizuri
huenda simu alii-Root nduo huvyo Android wanamuaga
lkn kuna kuUnroot
du hata sisi tuna hivi viTECNO
 
Mkuu siyo kwa maana mbaya nilitaka nianze ushauri sasa,mimi ni fundi simu na hizo mishe almost kila cku nakutana nazo
Nimecheka maana nilikua na tecno ilishanizingua sana namna hiyo. Usijali
 
HAIZURU CHOCHOTE,INAONYESHA INA HEAT / UNAITUMIA MNO!./
PUNGUZA APLICATION USELESS,WEKA ANTI ADS,SIMU UNAIPIGISHA SANA MZIGO,UKIENDELEA MNO ANDROID SYS ITAKUWA INA-COUNT 10 SEC INAJI - OFF.
 
HAIZURU CHOCHOTE,INAONYESHA INA HEAT / UNAITUMIA MNO!./
PUNGUZA APLICATION USELESS,WEKA ANTI ADS,SIMU UNAIPIGISHA SANA MZIGO,UKIENDELEA MNO ANDROID SYS ITAKUWA INA-COUNT 10 SEC INAJI - OFF.
Me yangu hunambia ivyo nikiingia instagram ila App nyingine iko sawa! Shida nini!??
 
mkuu hiyo simu inaitwa Gowin
Baba moja hao mkuu
Tecno,huawei,gowin zikiingiwa na huyo virus huwa inakuwa shida sana kutoka na hasa akikaa muda mrefu hata simu yenyewe yaweza kufa kabisa,so chakufanya ni kubadili software hiyo iliyoathirika na kuweka nyingine,ingawa hata kuformat simu huwa inasaidia kama huyo mdudu hajawa chronic sana.
 
mi naweza ondoa iyo kitu simu yangu ilikua kila dakika inasema hiv kwa fundi nilienda bila mafanikio ila nilibahatika kuitoa mimi
 
Back
Top Bottom