Habari wataalamu..
Hii inaeza isiwe ngeni lakini si mbaya kurudia ili kuwapa mwanga wasiojua kama mimi namna ya kubold, kuweka maneno yao kwene italics na pia kustrike through pindi watuamiapo...
Mwenye NAYO au kufahamu driver ya laptop dell ya kusaport line ili iweze kusoma na kuconnect ktk INTERNET katka computer aina ya dell D630 naomba msaada plz NATUMIA WINDOW 7.NAOMBA ANITUMIE HAPA...
Wanasayansi wamegundua sayari ambayo inakaribia sana Dunia kwa mazingira na ukubwa wake na ambayo inazunguka nyota ijulikanayo kama Proxima Centauri, iliyo na mfumo unaokaribia zaidi mfumo wetu wa...
Habari JF,baada ya kuhangaika mda mrefu hatimaye jana nimefanikiwa kuroot simu yangu ili niweze kuinstall app zenye uwezo wa kuhack games,lakin bahati mbaya sina ujuzi wa kuzitumia hzo apps kuhack...
Wadau,
Nina nyimbo kwenye laptop yangu. Bahati mbaya ili crash muda mrefu kidogo nimefanikiwa ku recover files. Baadhi ya nyimbo zinagoma kuplay (ziko kwenye format ya wav) nimejaribu kuzifanyia...
Wadau naomba kusaidiwabkstika hili, ninatumia tecno c9 kabla ya hapo nilikuwa natumia tecno f7 ambayo nilikuwa nikiitumia kuhamisha files toka kwenye pc na au kuingiza toka kwrnye simu, lkn toka...
Habari jf?
Naomba msaada jinsi ya kuzuia matangazo kwenye mtandao (adds). Unafungua website Fulani lakini vinatokea vitangazo vingi visivyo na maana kabisa. Naomba msaada kwa anayefahamu. Browser...
Wadau habari zenu, naombeni kujua jinsi gani naweza kuangalia East Africa Television on line (kwa simu), kuna kipindi nataka kufuatilia lakini mida yake inakwenda kinyume na ratiba zangu za...
Wakuu nimepata offer ya kuchagua simu moja wapo kama zawadi, ingawa sijawahi tumia hizo simu zaidi ya kuziona kwa watu.
Kwa wazoefu wa hizo simu naomba mnisaidie ni simu gani bora na yenye mvuto...
Simu uangu ya Huawei G6 - U10 ina limitation ya kuinstall apps mpaka 1070 mb tu, hata kama simu ina nafasi ya kuweka vitu vingine ie media, documents etc ya more than 1gb, lakini apps mwisho ni...
Helloww guys ,huu ni uzi maalumu kwa wale wadau wanaomiliki Blogs mbalimbali.
Hapa tutaweza kubadilishana mawazo,kupeana teknolojia mbalimbali za uendeshaji wa blogs,Jinsi ya kuingiza kipato...
Wakuu Kuna offer kabambe inaendelea sasa kwenye office zetu kama inavyoonesha hapa chini.
1.Webste designing +1 year hosting Tshs 350000/=
2.System or Database designing+1 year hosting plan...