Discovered using the Kepler Telescope, Kepler-186f isn’t exactly an Earth twin. The planet is very similar in size – within 10-percent of the Earth’s size – but it orbits its star, a red dwarf...
Da wakuu sikujua kumbe Kuna namna ya kushare internet kupitia smartphone na desktop yako, na ukafurahia namna mchina anavyoturahishia Maisha. Hii ni njia rahisi Sana Tena Bila kupitia Bluetooth na...
Wale wa zte modems ambao wanatafuta software ya kupiga na kupokea simu na hata kuingiza vocha na pia mms pakueni hapa Free File Hosting & Video Downloads, Free File Sharing, Online Friends...
Wakuu nina document nataka nizitume sehemu sasa najiuliza Simu yangu ina Camera Nzuri je naweza Kupiga Picha? Ili nizibadilishe ziwe katika mfuno wa PDF kisha nikazituma? Vipi kule akitaka...
Guys nina Lenovo Laptop yenye specifications zifuatazo:
Processor: Intel(R) Celeron(R) CPU N2840 @2.166GHz 2.16GHz
RAM: 2 GB
System Type: 64-bit
OS: Windows 8.1
In short hii Laptop ni pasua...
anaefahamu activation code ya windows 8.1 jamani naomba anisaidie au jinsi ya ku activate hiyo window please wakuu maana kila mara napata ujumbe wa kuactivate window kwa maana hiyo product key yao...
Habari za muda
leo asubuhi nimewasha simu yangu nikakuta imeweka wino kwenye kioo
naomba mnisaidie kutambua tatizo kama linavyoonekana hapo kwenye picha
Samsung is recalling its new Galaxy Note 7 smartphone worldwide after reports of the device catching fire while charging.
The recall of one of Samsung Electronics' flagship devices is an...
Wakuu natumia huduma za halotel naombeni msaada Wanasema kwa TZS. 999/= unapata 600MB za (KASI) mliowahi kutumia baada ya Kuisha hizo 600MB Speed ina drop around ngapi (I mean Downloading Speed...
Habari wanajf.
Nimebuni wazo la kuanzisha Hub ya innovations. Hivyo natafuta vijana 9 walio serious tuunganishe nguvu ili tuwe na hub yenye nguvu ambayo itakuwa inakusanya na kuendeleza ubunifu wa...