Habari wakuuu kwa mwenye kufaham android tv box..ni kitu gani na inafanyeje kazi tafadhali naomba anifahamishe...na je zinapatikana wapi kwa hapa Dar..na zinauzwaje? ?
Asanteni.
Natumia galaxy note 3 ambayo inarun custom ROM android 5.0, kuna muda haikuwa stable hvyo nilihtaji kuidowngrade to kitkat au kubadili ROM either custom au nirudi stock..nilidown load firmware...
Taarifa zinasema zaidi ya watu milioni bado wanaendelea kutumia simu za Galaxy note 7 licha ya kampuni ya Samsung kutaka zirejeshwe kiwandani na kubadilishiwa kwa simu zingine.
Takwimu...
Habari naombeni msaada .ni hivi kuna zile nyaya za kuunga Nisha TV na deki.sasa kuna vile viwaya (kichwa) vinavyochomekwa vinavyoingia kwenye TV kimekatikia ndani ya TV na ni baada ya zile waya...
Kampuni ya Apple imesema kuwa imekuwa ikinunua chaja na nyaya zilizo na sifa ya uhalisia kutoka katika mtandao wa Amazon wamegundua kuwa karibia asilimia 90 ni bandia.
========
Apple says it has...
Je. Tumejiadaa kulikabili shambulio hili?
=============
Some of the world's biggest websites including Twitter, SoundCloud, Spotify and Shopify are experiencing technical problems due to a...
jaman,nawezaje kujifunza hii frameworks inaitwa codeigniter???
nimeangalia videos zake zote bado cjaelewa.
embu mwenye njia rahis kwa jins gan naweza anza anisaidie jaman
natanguliza shukran zangu
Jamani ninaomba msaada namna ya ku bootload simu yangu ya huawei G535-L11. Niki iwasha inaishia njiani na inaleta message Bootload Failed to Verify. Bootload Status LOCKED. Naombeni msaada nifanyaje
Habarini wakuu..
Kwa wale wataalam naomba mnijuze, je kuna namna ya kutrace # ya mtu ya simu hapa kwetu na kupata exact location?! Kuna mtu kanitapeli hela na sijui wapi pa kumpata.
wakuu nina relay switc nahangaika namna ya kuziconnect ost s 112dm 12 vdc na4078 dc9v shg hii ya volt tisa niki energize coil naisikia ikimake ila nashindwa kuzijua ipi nc and no
Ndugu wana Jf laptop yangu haifunguki kila nikijaribu kuwasha ikifikia kipengere cha WELCOME inaniandikia maneno yafuatatayo.
The application or DLL C/WINDOWS/system32/LSASRV,dll is not...
Wadau nimedownload movies nyingi kwa kutumia simu, sasa ninahitaji zicheze na subtitles na embe ni MWenye kujua atiririke kwa faida ya wengi.
Na tu mia MX Player na kifaa nachoshushia ni simu...
Tujaribu kukimbizana na Dunia nahitaji kuwa hacker naomba uzi huu utumike kunifundisha ili niwe hacker,kwa kuanza nataka nianze kwa kuwa simple hacker nahack vitu vidogo vidogo kama account ya mtu...