mrs fiance
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 350
- 163
Habari naombeni msaada .ni hivi kuna zile nyaya za kuunga Nisha TV na deki.sasa kuna vile viwaya (kichwa) vinavyochomekwa vinavyoingia kwenye TV kimekatikia ndani ya TV na ni baada ya zile waya kuwekwa vibaya. kinaweza kutolewa kweli? Au ndo siangalii CD videos.