Kuinstall stock filmware

Kuinstall stock filmware

Gatete

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
380
Reaction score
407
Natumia galaxy note 3 ambayo inarun custom ROM android 5.0, kuna muda haikuwa stable hvyo nilihtaji kuidowngrade to kitkat au kubadili ROM either custom au nirudi stock..nilidown load firmware nyingine ya SM-9005, odin pamoja na drivers zote husika ili niflash ROM iliyo kuwepo.
Bahati mbaya katika process hyo simu ilifail na baada ya hapo ikawa inaleta ujumbe huu nikiiwasha 'could not do normal boot odin mode'
nimedownload firmware nyingine stock nimeiconnect tena kwa pc via odin lakini kila inapoanza process inafail na kuwaka haiwez tena.
IMG-20161015-WA0022.jpg

20161012_072902.jpg

naombeni msaada niweze kuinstall ROM upya
 
Natumia galaxy note 3 ambayo inarun custom ROM android 5.0, kuna muda haikuwa stable hvyo nilihtaji kuidowngrade to kitkat au kubadili ROM either custom au nirudi stock..nilidown load firmware nyingine ya SM-9005, odin pamoja na drivers zote husika ili niflash ROM iliyo kuwepo.
Bahati mbaya katika process hyo simu ilifail na baada ya hapo ikawa inaleta ujumbe huu nikiiwasha 'could not do normal boot odin mode'
nimedownload firmware nyingine stock nimeiconnect tena kwa pc via odin lakini kila inapoanza process inafail na kuwaka haiwez tena.View attachment 418730
View attachment 418731
naombeni msaada niweze kuinstall ROM upya
Kwanza unatakiwa ujaribu version karbia zote za odin,umefanya hivyo?

Pili baada ya kujarbu odin version zote especially zile latest ,kama bado inagoma kuflash,itabid utumie samsung keys hii na itaflash bila tatizo.

Ukikwama unaeza nichek pm ntakusaidia kwa team viwer
 
asante..ngoja nijaribu version nyingine za odin pamoja na hzo kies3
 
Kwanza unatakiwa ujaribu version karbia zote za odin,umefanya hivyo?

Pili baada ya kujarbu odin version zote especially zile latest ,kama bado inagoma kuflash,itabid utumie samsung keys hii na itaflash bila tatizo.

Ukikwama unaeza nichek pm ntakusaidia kwa team viwer

Odin latest version still inafail...kies pia haisupport kwa model yangu
20161016_091947.jpg
 
imegoma kudownload..inaonyesha version ya current firmware, no more option
 
Hakikisha hyo firmware uliyo-download ndo yenyewe
Nilkuwa na Galaxy s5 ukiangalia model ni g900F wakati TCRA ukihakiki inasema g900T
Nili-download firmware ya g900F kila niki-flash ina-fail
But nilipo-download ile TCRA walkuwa wanatuletea ikakubali, jaribu kuangalia vizuri kuna matoloe mbalimbali ya hizi simu based na network carrier za USA
Kama TCRA bado wanakubali kuhakiki wacheki model watakayokupa ndo real
 
Hakikisha hyo firmware uliyo-download ndo yenyewe
Nilkuwa na Galaxy s5 ukiangalia model ni g900F wakati TCRA ukihakiki inasema g900T
Nili-download firmware ya g900F kila niki-flash ina-fail
But nilipo-download ile TCRA walkuwa wanatuletea ikakubali, jaribu kuangalia vizuri kuna matoloe mbalimbali ya hizi simu based na network carrier za USA
Kama TCRA bado wanakubali kuhakiki wacheki model watakayokupa ndo real
inawezekana aisee...firmware nilizodownload zilikuwa za SM-N9005 kama model ya simu inavyoonyesha lakini TCRA inaonyesha ni SM-N900S
 
Hakikisha hyo firmware uliyo-download ndo yenyewe
Nilkuwa na Galaxy s5 ukiangalia model ni g900F wakati TCRA ukihakiki inasema g900T
Nili-download firmware ya g900F kila niki-flash ina-fail
But nilipo-download ile TCRA walkuwa wanatuletea ikakubali, jaribu kuangalia vizuri kuna matoloe mbalimbali ya hizi simu based na network carrier za USA
Kama TCRA bado wanakubali kuhakiki wacheki model watakayokupa ndo real
hii kitu imekaaje sasa simu kudisplay taarifa nyinginezo tofauti na uhalisia wake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom